Serikali kujenga Uwanja mwingine wa Ndege Bukoba

Serikali kujenga Uwanja mwingine wa Ndege Bukoba

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,183
Reaction score
2,100
Licha ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kutangaza kuwa uwanja wa Ndege wa Bukoba ni salama kwa kutua, Serikali imekiri kuwa Uwanja huo unakabiliwa na matatizo hasa wakati wa mvua na hivyo Maandalizi yanafanyika kujenga Uwanja wa Omukajunguti utakokuwa mbadala

Kauli ya serikali inakuja wiki mbili baada ya ndege ya PrecisionAir, PW-494 kuanguka katika Ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watu 19 ilipokuwa ikijaribu kutua, tukio ambalo limehusishwa na hali mbaya ya hewa

Baada ya ajali hiyo wadau mbalimbali wa sekta ya anga wakiwemo Marubani na Wahandisi wa ndege walitaja Bukoba kuwa ni miongoni mwa viwanja vya ndege vinavyowapa shida wakati wa kutua na kupaa


....................


The government has acknowledged that Bukoba Airport faces difficulties, particularly during the rainy season, despite the Tanzania Airports Authority's (TAA) declaration that the airport is safe for landing.

As a result, preparations are being made to build the long-awaited Omukajunguti Airport which will serve as an alternative to the current Bukoba Airport.

The government's remarks come two weeks after the Precision Air flight PW-494 with 43 passengers on board crashed into Lake Victoria, killing 19 people.
The plane crashed while attempting to land an incident that has been attributed to bad weather.

After the incident, various stakeholders in the aviation industry, including pilots and flight engineers, mentioned the Bukoba among airports that give them trouble during landing and takeoff.

They said the struggle is due to the constant change of weather that occurs, as well as the presence of mountains in the surrounding areas.

While the country continues to wait for investigation on the incident, on Thursday November 17, Air Tanzania Company Limited (ATCL) plane failed to land at Bukoba Airport due to bad weather, a situation that forced and the pilot of the to divert the flight to Mwanza Airport, where all passengers disembarked safely.

Mr Atupele Mwakibete, the deputy minister for Works and Transport, told Mwananchi on the phone that, in addition to renovating the airport, the government plans to build another one.

"The area where the new airport is set to be constructed is the border with Uganda, we have already started looking for Sh9 billion to pay compensation to the people because the valuation was already done a long time ago," he said.

Mwakibete said the regional authority has already submitted a proposal for the construction of the new Omukajunguti Airport and they are working on it.
He, however, said that for a plane to cancel landing at Bukoba Airport, is an issue that can happen at any airport.

"It could have been Bukoba, as it happened; it could have been Mwanza, Julius Nyerere International Airport, or any airport depending on the weather at the time," he explained

Source: The Citizen
 
We can't wait to witness the dream come true. Viva to all of the optimists who have their positive look on the matter, dearly and abundantly we really congratulate the government upon the decision and urgue it never to setback their mission and let its people suffer the delay anymore.
 
Na mkoa utatanuka, ni moja ya mikoa michache ambayo ndege mbili zinatua asubuhi, mbili jioni
 
Back
Top Bottom