Serikali iweke kodi maalumu tuokoe Korosho zetu kwa Wahindi

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
> 80% ya Korosho yetu inasafirishwa kwenda India kwa ajili ya kuwa ,,processed” , kwa maana nyingine kama nchi hatuna uwezo wa kuprocess 80% ya korosho tunazolima, hivyo ningependekeza Serikali iweke kodi maalumu ili hiyo fedha tuitumie kujenga processing plants hapa kwetu.

Serikali inaweza kuwachaji Wazungu wanaokuja kutalii, kwa mfano badala ya kulipia viza 50 USD tuongeze Dola 10 na hiyo kumi iende kwenye viwanda vya process korosho.

Wazungu wanaweza kujenga hivi viwanda kama tukiwaongezea kodi, kwa kila kitanda cha hoteli wanacholalia tuongeze dola 5, kila bia wanaokunywa tuongeze kiasi fulani, tiketi ya ndege, boti kwenda Zanzibar, Mbugani, kupanda Mlima kote tuongeze kidogo na hiyo fedha tujenge processing plants za korosho.

Tukiweza kupocess hata tu 60% ya korosho zetu, tunaweza kupunguza umaskini Kusini mwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa sana, tunaweza kulifanya hili na na kuondoa utegemezi wa Muhindi, ...
 
Kweli kabisa, hawawazungu wanaokuja kuangalia simba na chui inabidi tuwakazie ili tupate viwonder.
 
Barbarosa una cheo gan hapa TZ?
Akizeeka huyo atakua mchawi/mwanga, wala asikuumize kichwa.

1) Maana hatafakari serikali imeongeza mapato (kama inavyo dai) kwa njia ya kodi. Sasa kipi kinawafanya washindwe kujenga hicho kiwanda cha kubangua kirosho.

2) Nchi za ulaya zimeshawaonya watalii wanaotaka kuja Tanzania kutembea, hivyo idadi ya watalii itaporomoka sana, bado waongezewe vikwazo kwa kupandishiwa bei za service wanazokuja kutumia Tanzania.

3) Hajui kufanya research ya kutosha juu ya swala hili. Ningependa atambue korosho ukibangua kwa kutumia mashine unapata hasara, tofauti na kubangua kwa mkono.

Hoja hii inatokana na,

Mashine haina akili ya kubalance ubanguaji wa korosho baina ya korosho nzuri/korosho dhaifu, hivyo zote zinabanguliwa kwa kutumia nguvu aina moja na kusababisha kuzivunja korosho vibaya. India wanatumia watu/binaadamu kubangua korosho kwa mkono, na ndio maana wanaweza kupata production kubwa ilio na grade nzuri (india wanawalipa wabanguaji wa korosho $1 = 2,290/=Tsh kwa siku, na ni kazi ngumu sana kubangua, ila kwakua kuna masikini wa kutupa basi hio kazi japo ngumu watu wanaifanya, Tanzania watu watataka walipwe si chini ya $3 = 6,870/=Tshs kwa siku). Hapa haoni bado watu watashikilia kuzipeleka india hizo korosho???

Kingine kupeleka bidhaa nje ya nchi zinatuingizia pesa za kigeni, yaani USD$ kwa ku expert.

Habuba Kichwa Kichafu
Kanungila Karim Frank Wanjiru
 
> 80% ya Korosho yetu inasafirishwa kwenda India kwa ajili ya kuwa ,,processed” , kwa maana nyingine kama nchi hatuna uwezo wa kuprocess 80% ya korosho tunazolima, hivyo ningependekeza Serikali iweke kodi maalumu ili hiyo fedha tuitumie kujenga processing plants hapa kwetu.

Serikali inaweza kuwachaji Wazungu wanaokuja kutalii, kwa mfano badala ya kulipia viza 50 USD tuongeze Dola 10 na hiyo kumi iende kwenye viwanda vya process korosho.

Wazungu wanaweza kujenga hivi viwanda kama tukiwaongezea kodi, kwa kila kitanda cha hoteli wanacholalia tuongeze dola 5, kila bia wanaokunywa tuongeze kiasi fulani, tiketi ya ndege, boti kwenda Zanzibar, Mbugani, kupanda Mlima kote tuongeze kidogo na hiyo fedha tujenge processing plants za korosho.

Tukiweza kupocess hata tu 60% ya korosho zetu, tunaweza kupunguza umaskini Kusini mwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa sana, tunaweza kulifanya hili na na kuondoa utegemezi wa Muhindi, ...
Hao simba na chui hata. Kenya wapo
 
> 80% ya Korosho yetu inasafirishwa kwenda India kwa ajili ya kuwa ,,processed” , kwa maana nyingine kama nchi hatuna uwezo wa kuprocess 80% ya korosho tunazolima, hivyo ningependekeza Serikali iweke kodi maalumu ili hiyo fedha tuitumie kujenga processing plants hapa kwetu.

Serikali inaweza kuwachaji Wazungu wanaokuja kutalii, kwa mfano badala ya kulipia viza 50 USD tuongeze Dola 10 na hiyo kumi iende kwenye viwanda vya process korosho.

Wazungu wanaweza kujenga hivi viwanda kama tukiwaongezea kodi, kwa kila kitanda cha hoteli wanacholalia tuongeze dola 5, kila bia wanaokunywa tuongeze kiasi fulani, tiketi ya ndege, boti kwenda Zanzibar, Mbugani, kupanda Mlima kote tuongeze kidogo na hiyo fedha tujenge processing plants za korosho.

Tukiweza kupocess hata tu 60% ya korosho zetu, tunaweza kupunguza umaskini Kusini mwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa sana, tunaweza kulifanya hili na na kuondoa utegemezi wa Muhindi, ...
Kwa uchumi huu nchi itafilisika kama Venezuela!
 
> 80% ya Korosho yetu inasafirishwa kwenda India kwa ajili ya kuwa ,,processed” , kwa maana nyingine kama nchi hatuna uwezo wa kuprocess 80% ya korosho tunazolima, hivyo ningependekeza Serikali iweke kodi maalumu ili hiyo fedha tuitumie kujenga processing plants hapa kwetu.

Serikali inaweza kuwachaji Wazungu wanaokuja kutalii, kwa mfano badala ya kulipia viza 50 USD tuongeze Dola 10 na hiyo kumi iende kwenye viwanda vya process korosho.

Wazungu wanaweza kujenga hivi viwanda kama tukiwaongezea kodi, kwa kila kitanda cha hoteli wanacholalia tuongeze dola 5, kila bia wanaokunywa tuongeze kiasi fulani, tiketi ya ndege, boti kwenda Zanzibar, Mbugani, kupanda Mlima kote tuongeze kidogo na hiyo fedha tujenge processing plants za korosho.

Tukiweza kupocess hata tu 60% ya korosho zetu, tunaweza kupunguza umaskini Kusini mwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa sana, tunaweza kulifanya hili na na kuondoa utegemezi wa Muhindi, ...
We mbweze kweli, wameua korosho unataka waue na utalii.
 
ah ah dah hii nchi yangu usipokua makini ni kama unaangalia kipindi cha bongo muvi hv....kweli bongo bahati mbaya
 
Kuuwa Utalii kivipi? Hakuna Mzungu ktk first World country ataarisha kuja shauri ya nyongeza ya dola 10!
Kwa hiyo dola 10 wazungu wataenda kenya na dreamliner lenu litakosa wateja.
kiwanda cha korosho kijengwe kwa hela za korosho. Faida ya korosho mwaka jana mmefanyia nini?
 
> 80% ya Korosho yetu inasafirishwa kwenda India kwa ajili ya kuwa ,,processed” , kwa maana nyingine kama nchi hatuna uwezo wa kuprocess 80% ya korosho tunazolima, hivyo ningependekeza Serikali iweke kodi maalumu ili hiyo fedha tuitumie kujenga processing plants hapa kwetu.

Serikali inaweza kuwachaji Wazungu wanaokuja kutalii, kwa mfano badala ya kulipia viza 50 USD tuongeze Dola 10 na hiyo kumi iende kwenye viwanda vya process korosho.

Wazungu wanaweza kujenga hivi viwanda kama tukiwaongezea kodi, kwa kila kitanda cha hoteli wanacholalia tuongeze dola 5, kila bia wanaokunywa tuongeze kiasi fulani, tiketi ya ndege, boti kwenda Zanzibar, Mbugani, kupanda Mlima kote tuongeze kidogo na hiyo fedha tujenge processing plants za korosho.

Tukiweza kupocess hata tu 60% ya korosho zetu, tunaweza kupunguza umaskini Kusini mwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa sana, tunaweza kulifanya hili na na kuondoa utegemezi wa Muhindi, ...


Ungeshauri uwanja wa ndege wa chato usijengwe ili hayo yatimie. Hapo ndio ujue uwezo wa uongozi ni mdogo ndio maana unaona miradi isiyo kipaombele cha wananchi bali utashi wa mkulu.
 
Kwani mwenye nyumba si kasema ikishindikana atazinunua mwenyewe tena ndani ya siku mbili tu, Au tulim nukuu vibaya ?
 
Back
Top Bottom