Serikali iwe makini yasijejirudia yale ya samaki wa Magufuli

Bome-e

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
17,179
26,188
Tuikumbushe serikali hasa hii ya Magufuli wawe makini tusijeingia hasara kulipa fidia!Mpaka sasa hisa za ACASIA zimedorora kutokana na sintofahamu ya report ya tume iliyoundwa kuchunguza makontena ya mchanga wenye madini!
Kipindi cha nyuma sakata la samaki wengi tulishangilia tukiamini ule ni uzalendo,tukawala wale samaki wa bei chee na kutaifisha meli!Baadaye tukashindwa na kutakiwa kulipa fidia ya samaki na meli mpya!
Ni kwa kumbukumbu hizo basi serikali iwe makini,isirudie makosa yatakayotugharimu!
 
Tuikumbushe serikali hasa hii ya Magufuli wawe makini tusijeingia hasara kulipa fidia!Mpaka sasa hisa za ACASIA zimedorora kutokana na sintofahamu ya report ya tume iliyoundwa kuchunguza makontena ya mchanga wenye madini!
Kipindi cha nyuma sakata la samaki wengi tulishangilia tukiamini ule ni uzalendo,tukawala wale samaki wa bei chee na kutaifisha meli!Baadaye tukashindwa na kutakiwa kulipa fidia ya samaki na meli mpya!
Ni kwa kumbukumbu hizo basi serikali iwe makini,isirudie makosa yatakayotugharimu!
Too damn late.
 
Tuikumbushe serikali hasa hii ya Magufuli wawe makini tusijeingia hasara kulipa fidia!Mpaka sasa hisa za ACASIA zimedorora kutokana na sintofahamu ya report ya tume iliyoundwa kuchunguza makontena ya mchanga wenye madini!
Kipindi cha nyuma sakata la samaki wengi tulishangilia tukiamini ule ni uzalendo,tukawala wale samaki wa bei chee na kutaifisha meli!Baadaye tukashindwa na kutakiwa kulipa fidia ya samaki na meli mpya!
Ni kwa kumbukumbu hizo basi serikali iwe makini,isirudie makosa yatakayotugharimu!
Mkuu safari hii ni mchanga wa Magufuli!! Wacha tukione cha moto labda tutatia akili mkichwa!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Aibu ya samaki wa Magufuli iwe funzo gani kwetu

Tuikumbushe serikali hasa hii ya Magufuli wawe makini tusijeingia hasara kulipa fidia!Mpaka sasa hisa za ACASIA zimedorora kutokana na sintofahamu ya report ya tume iliyoundwa kuchunguza makontena ya mchanga wenye madini!
Kipindi cha nyuma sakata la samaki wengi tulishangilia tukiamini ule ni uzalendo,tukawala wale samaki wa bei chee na kutaifisha meli!Baadaye tukashindwa na kutakiwa kulipa fidia ya samaki na meli mpya!
Ni kwa kumbukumbu hizo basi serikali iwe makini,isirudie makosa yatakayotugharimu!
 
Samaki wa makufuli na sasa mchanga wa makufuli ni ndugu hawa tena baba moja
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom