Serikali iwatoze kodi mafundi ujenzi

osieee

JF-Expert Member
Dec 16, 2015
222
232
Umefika wakati muafaka sasa kwa serikali yetu kuanza kuchukua kodi kwa mafund ujenzi wote Tanzania maana hawa watu wanapiga hela ndefu sana na hakuna taasisi mahsusi kwa ajili ya upangaji bei za ujenzi ,for example wapo wanaojenga kwa siku analipwa 25-35.

Serikali sasa iunde taasisi maalum itakayokuwa chini ya wizara ya ujenzi na ziwepo kila mkoa na vile vile utengenzwe mfumo mahsusi wa ukusanyaji kodi kwa mafundi ujenzi wote Tanzania kwani wanatengeneza zaidi ya minimum tsh 560,000 hadi maximum earning 1,234,000 tsh per Month ,kwa hiyo tisa ya earning yao per month itatusaidia sana kwani kuna mafundi ujenzi zaidi ya laki na kitu ambao hawana usajili wowote na wanapiga pesa na hawalipi kodi yoyote.

Asanteni na karibuni kwa mawazo na ushauri wenu kuhusu wazo hili.
 
Umefika wakati muafaka sasa kwa serikali yetu kuanza kuchukua kodi kwa mafund ujenzi wote Tanzania maana hawa watu wanapiga hela ndefu sana na hakuna taasisi mahsusi kwa ajili ya upangaji bei za ujenzi ,for example wapo wanaojenga kwa siku analipwa 25-35.

Serikali sasa iunde taasisi maalum itakayokuwa chini ya wizara ya ujenzi na ziwepo kila mkoa na vile vile utengenzwe mfumo mahsusi wa ukusanyaji kodi kwa mafundi ujenzi wote Tanzania kwani wanatengeneza zaidi ya minimum tsh 560,000 hadi maximum earning 1,234,000 tsh per Month ,kwa hiyo tisa ya earning yao per month itatusaidia sana kwani kuna mafundi ujenzi zaidi ya laki na kitu ambao hawana usajili wowote na wanapiga pesa na hawalipi kodi yoyote.

Asanteni na karibuni kwa mawazo na ushauri wenu kuhusu wazo hili.
Ni sawa wazo zuri lkn atakayeumia hapo ni nani zaidi ya sie walala hoi tujengae kimaskini, serikali itumie rasilimali nyingine kujiongezea makusanyo,
 
Umefika wakati muafaka sasa kwa serikali yetu kuanza kuchukua kodi kwa mafund ujenzi wote Tanzania maana hawa watu wanapiga hela ndefu sana na hakuna taasisi mahsusi kwa ajili ya upangaji bei za ujenzi ,for example wapo wanaojenga kwa siku analipwa 25-35.

Serikali sasa iunde taasisi maalum itakayokuwa chini ya wizara ya ujenzi na ziwepo kila mkoa na vile vile utengenzwe mfumo mahsusi wa ukusanyaji kodi kwa mafundi ujenzi wote Tanzania kwani wanatengeneza zaidi ya minimum tsh 560,000 hadi maximum earning 1,234,000 tsh per Month ,kwa hiyo tisa ya earning yao per month itatusaidia sana kwani kuna mafundi ujenzi zaidi ya laki na kitu ambao hawana usajili wowote na wanapiga pesa na hawalipi kodi yoyote.

Asanteni na karibuni kwa mawazo na ushauri wenu kuhusu wazo hili.
ndo umeongea nini sasa, wtu wengine bana
 
Umefika wakati muafaka sasa kwa serikali yetu kuanza kuchukua kodi kwa mafund ujenzi wote Tanzania maana hawa watu wanapiga hela ndefu sana na hakuna taasisi mahsusi kwa ajili ya upangaji bei za ujenzi ,for example wapo wanaojenga kwa siku analipwa 25-35.

Serikali sasa iunde taasisi maalum itakayokuwa chini ya wizara ya ujenzi na ziwepo kila mkoa na vile vile utengenzwe mfumo mahsusi wa ukusanyaji kodi kwa mafundi ujenzi wote Tanzania kwani wanatengeneza zaidi ya minimum tsh 560,000 hadi maximum earning 1,234,000 tsh per Month ,kwa hiyo tisa ya earning yao per month itatusaidia sana kwani kuna mafundi ujenzi zaidi ya laki na kitu ambao hawana usajili wowote na wanapiga pesa na hawalipi kodi yoyote.

Asanteni na karibuni kwa mawazo na ushauri wenu kuhusu wazo hili.

We inaonyesha mfumo mzima wa ujenzi na ajira zake huzijui.
 
Hahaaaah...mafund wanajipangia bei wenyew bt kweny kodi haipo sawa coz hawafany biashara wao ni nguvu kazi
 
kukiwa na bei elekezi sidhan kama mzigo utatuangukia sisi wananchi wa kawaida
 
Kwanza haiwezi kutokea mm nikimuita fundi ntapanga naye bei nyumbani..na siwezi kumuhusisha serikali sabb mm ndiye nitaumia

Hawa mafundi ni kama informal sector huwezi kuchukua kodi kwao ..

Na pia cyo kila mtu akatwe kodi alaa ,unyonyaji tu ...bandari,vitu kibao vipo na bado walalahoi kama hawa wakatwe aah
 
Wakikatwa kod we utafaidika nn?utataka ad mapota wanaobeba mizigo ya watalii wanaopanda mlima kilimanjaro wakatwe kod yaan wivu tu
 
Kama wafanyavyo maafisa kilimo wa vijiji na kata, yaani kama mna migogoro ya shamba mnachajiwa gharama za kuwapatanisha. Nadhani hata huko wenyeviti/watendaji wa vijiji, mitaa wakiona mtaani kwao kuna ujenzi unaendelea basi wafanye kukusanya chochote kwa ajili ya ustawi wa kijiji/mtaa!
 
mwishowe utasema iwatoze kod hadi wauza chapati/vitumbua,

Wanachukua kodi yao kwenye vifaa vya ujenzi inawatosha sana
 
We kweli Akili yako mbovu ujuzi wangu unakuhusu nini serikali yako ichukue tenda zote binafsi nchini au
 
Hizo kodi tutazilipa sisi.... Nyumba wanayojenga kwa 700,000 kwasasa, itajengwa kwa 900,0000..

Mfano mdogo angalia ktk gharama za miamala ya simu... Mara baada ya kuanza kutozwa kodi gharama zilipanda....

Kuwa makini na Ushauri wako wa Kijinga.....

Ushauri wangu ni Serikali kupunguza kodi ktk vifaa vya ujenzi...
 
Back
Top Bottom