Mkristo gani asiyejua kwamba neno MUNGU huanza na kepito leta. wewe ni wale wale wa AS au saw.
wakipata utajiri wewe tatizo lako ni nini ? na wewe anza unabii kama umaskini umekuchosha tukuone.
au anza msikiti wa kilokole kwa waislamu upige hela. waambie wewe ni mjukuu wa mtume kwa yule mke wake mwenye umri mdogo.
Mkristo gani asiyejua kwamba neno MUNGU huanza na kepito leta. wewe ni wale wale wa AS au saw.
wakipata utajiri wewe tatizo lako ni nini ? na wewe anza unabii kama umaskini umekuchosha tukuone.
au anza msikiti wa kilokole kwa waislamu upige hela. waambie wewe ni mjukuu wa mtume kwa yule mke wake mwenye umri mdogo.
Mkristo gani asiyejua kwamba neno MUNGU huanza na kepito leta. wewe ni wale wale wa AS au saw.
wakipata utajiri wewe tatizo lako ni nini ? na wewe anza unabii kama umaskini umekuchosha tukuone.
au anza msikiti wa kilokole kwa waislamu upige hela. waambie wewe ni mjukuu wa mtume kwa yule mke wake mwenye umri mdogo.
mungu/MUNGU yote yana maana moja....kuandika herufi ndogo hakupotezi maana ya neno MUNGU
Heri mie sijasema. Lakini ni kweli kuwa falsafa ya unabii inaakisi au kumfanya mchungaji au hao manabii kuwa matajiri? Na ni kwanini kwa nyakati hizi?
Mlio refer biblia ni wapi pameandikwa manabii wapewe pesa na utajiri? Kwangu mimi hao ni wapigaji tu kama walivyo wanyang'anyi wengine.
Acha mtapeliwe si mnasali ktk makanisa ya wanadamu baala ya kanisa alililoacha Yesu ambalo ni Catholics! badala yake mnatapeliwa kule 'mlima wa baridi', 'kanisa la kufukua', 'kanisa la efwatwa' kwa 'mzee wa upwakwa' 'kanisa la kikobe' nk
Wewe umepotoshwa, halafu unataka kupotosha wengine! Acha upotoshaji wewe, tafuta Kitabu cha BWANA ukasome! (ISAYA 34:16). Yesu hakuacha kamwe kanisa la Catholics! Yesu hakuwa Mkatoliki. Yeye alibatizwa katika maji tele (MATHAYO 3:13-17), tofauti na Wakatoliki. Vilevile, tofauti na Wakatoliki wanaopinga juu ya kuokolewa, Kanisa aliloliacha Yesu lilikuwa la watu waliookolewa: MATENDO YA MITUME 2:47,"...Bwana akalizidisha KANISA kwa wale waliokuwa WAKIOKOLEWA." Eti Makanisa ya wanadamu! Kwa taarifa yako, Mungu anafanya kazi na wanadamu (1WAKORINTHO 3:9; EZEKIELI 22:30). Tangu Kitabu cha MWANZO, Mungu anatajwa kufanya kazi na wanadamu, ambao hata taasisi zao hazitajwi: Nuhu, Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Musa, Yoshua, Eliya, Elisha, Yohana Mbatizaji, Petro, Yohana, Paulo n.k.
Mkristo gani asiyejua kwamba neno MUNGU huanza na kepito leta. wewe ni wale wale wa AS au saw.
wakipata utajiri wewe tatizo lako ni nini ? na wewe anza unabii kama umaskini umekuchosha tukuone.
au anza msikiti wa kilokole kwa waislamu upige hela. waambie wewe ni mjukuu wa mtume kwa yule mke wake mwenye umri mdogo.
Acha mtapeliwe si mnasali ktk makanisa ya wanadamu baala ya kanisa alililoacha Yesu ambalo ni Catholics! badala yake mnatapeliwa kule 'mlima wa baridi', 'kanisa la kufukua', 'kanisa la efwatwa' kwa 'mzee wa upwakwa' 'kanisa la kikobe' nk
Acha mtapeliwe si mnasali ktk makanisa ya wanadamu baala ya kanisa alililoacha Yesu ambalo ni Catholics! badala yake mnatapeliwa kule 'mlima wa baridi', 'kanisa la kufukua', 'kanisa la efwatwa' kwa 'mzee wa upwakwa' 'kanisa la kikobe' nk
mungu/MUNGU yote yana maana moja....kuandika herufi ndogo hakupotezi maana ya neno MUNGU
Hebu onesha aya kwenye Biblia kwamba Yesu aliacha kanisa katoliki duniani!
Ingawa wame ni ban humu ila najaribu kutoa mchango sijui kama uta be submitted?
Manabii, wachungani, mitume na wanaofanana na hao wa uongo ni wengi sana tu. Kumtambua kuwa ni wa Mungu au wa shetani utaweza tu kwa kutumia ROHO MTAKATIFU WA MUNGU. Wengine hutambulika kwa maneno, fikra na matendo yao.
Ni matajiri sana kimwili kuliko kiroho. Wanajitukuza au wanatukuzwa sana kuliko Mungu aliye Mkuu. Utamuuliza mtu anatoka wapi? atakuambia kanisa la ....... (naogopa kutaja majina ya watu sababu labda watani ban tena hawa moderators wa humu). Wadanganyika wengi ni wanawake, ingawa pia wanaume wapo wengi tu. We ukiwa na kipato kikubwa hata kama hujui Bible ikoje utaweza kuteuliwa kuwa mzee wa kanisa. Wanajiita wao ni ma transformer, wazee wa upako. Ukiudhuria kwao utaponywa, utapata pesa, utapata watoto, mume na mengine meengi ya kimwili au ya kiduania. Ila ya kiroho kuhusu upendo wa ki Mungu na binadamu wenzako, kiacha dhambi na kutenda mema hawasisitizi hayo.
Haya sasa Moderator ni ban tena.