Nyagalu blood
Member
- Feb 3, 2019
- 5
- 13
Ifikie tu hatua iyajibu maswali ya mh.Tundu A.Lissu ,na kama haina majibu basi isione haya kumuomba radhi mh lissu,kuliko kuendelea kujibizana, huku serikali ikitoa hoja ambazo hazina mashiko ni kujiambisha na kuonyesha madhaifu yake kitaifa mpaka kimataifa..
Na zaidi ya hapo ni kumpa umaarufu zaidi mh.Lissu.
Ni hayo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na zaidi ya hapo ni kumpa umaarufu zaidi mh.Lissu.
Ni hayo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app