Ulizia "fitna" ya Sudan aliitengeneza nani ! Ili uelimishwe. Hakuna udini pale. Nigeria kuna fitna ya dhulma na si dini. Fitna ya Angola si Savimbi wala dini, ulizia aliye ipanga. Iweje Waarabu maisha yao ni bora kwa mafuta, lakini Wanigeria kuna umaskini wa kupindukia !?
Bado nakuuliza idadi ya watu na dini zao athari yake ni nini !?