QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
jana katika taarifa ya TBC1, Shekhe Simba alitoa kauli ya kuwataarifu waislam kushiriki katika sensa baada ya serikali kukubali kuingiza kipengere cha dini katika hojaji ya sensa inayotarajiwa kufanyika August 2012.
Swali kwa serikali ni kwa namna gani tutatumia takwimu za udini wa mtanzania katika kumletea maendeleo? Au imefanyika kuiridhisha dini fulani ili sensa iweze kufanyika?
Quality
Swali kwa serikali ni kwa namna gani tutatumia takwimu za udini wa mtanzania katika kumletea maendeleo? Au imefanyika kuiridhisha dini fulani ili sensa iweze kufanyika?
Quality