Serikali itaanza lini kuajiri rasmi?

Serikali itaanza lini kuajiri rasmi?

Aseeh..huwa wanaangalia nini mkuu. Maana hawa naskia wanawambia wajiandae watafanyiwa usaili kikanda
Ni bahati yako..wanawafanyia usaili watu wengi ila wanaowachukua wanakuwa wachache
 
mi nimeamua nianzishe mradi wangu wa kufuga kuku wa mayai, na kwa siku sasa hivi naokota trei 14 na trei moja ni 8000 hadi 8500..piga mara siku 7 za wiki ni 56,000, piga 56000×4weeks=244,000 nikitoa matumizi, chakula cha kuku
elfu 50, usafiri elfu 20 na matumizi madogo elfu 30 nabakiwa na 114000 Maisha yanasonga
 
kwa mujibu wa wazir anayeshughulikia masuala ya ajira, Mh Angela Kairuki, Ajira zitaanza kutoka mara baada ya kumalizika kwa zoezi la watumishi hewa, ambalo kulingana na matamko ya awali ilibidi liwe limefikia ukomo wake wiki iliyopita, ila limeshindwa kukakamilika kwa sabbu baadhi ya watumishi hawajafikisha taarifa kuhusu uhakiki wao, hvyo zoezi kusogezwa mbale mpaka watakapo toa taarifa zingne
Kairuki hashughulikii ajira bhana, nadhani
ni Jenister
 
Kairuki hashughulikii ajira bhana, nadhani
ni Jenister
kaka acha ubishi kama shipa, uwe mtu wa kupenda kujifunza usipende kutunza ujinga kwenye ubongo wako mwishowe akili itahamia magotini, maana kila nikitajara wazri anayeshughulikia ajira za uma unakomaa na mm kama tunafahamiana...

ni hivi, Mh. Kairuki ni wazir wa nchi ofis ya Rais, utumishi na utawala bora...!utumishi wanashughulikia ajira zote sreikalini ikiwemo kutoa vibali kwa taasisi za serikali, mashirika ya uma, mamlaka na idara zote za serikali kwa mujibu wa sheria, ila pia wanasimamia watumishi wa uma wote kwenye maadili, kupandishwa vyeo, kushushwa na hata stahiki zao,pia wao ndio wanaopanga salary scale kwa kila mtumishi kulingana na sifa na vigezo vyao kwa kushirikiana na hazina pamoja na wizara ya fedha
kwa upande wa wizara ya ajira na vijana walemavu na watoto, amabayo serikali iliyopita ilijulikana kama wizara ya kazi na maendeleo ya vijana, jukumu la wizara hii ni kusimamia na kutengeneza ajira katika sekta binafsi na zisizo rasmi mfano makampuni yakitoka nje ya nchi yanapokuja kufanya shughuli zao, yanapoitaji vijana wa kitanzania wanakwenda kwenye wizara hii ili wapatiwe vijana wenye sifa( nakumbuka kuna kipind walikuwa wanasajir vijana wasio na kazi kwa kupeleka cv na vyeti then unatunzwa kwenye database zao), na pia inasimamia ajira za wageni (work permit) ikiwemo kutoa vibali vya kufanya kazi nchini na kutengeneza mazingira mazur ya kazi kwa watu wanaotoka matafa ya nje yanayokuja kuwekeza nchini(to facilitate equitable Labour relations and promotion of employment creation for the wellbeing of all Tanzanians and foreigners)
 
inaendelea kuajiri kimya kimya, juz hapo imeajili watu 5000.

kama huna ndugu subiri
 
mwenyewe kasema ashaanza kutoa, namba inasomeka
 
Back
Top Bottom