pete mende
New Member
- Aug 11, 2016
- 3
- 0
Ndugu zangu wana jf naomba kuuliza ni lini serekali itatoa ajiraa!!!!??
Naomba kwa wale wenye ndugu zenu walio mawizarani ntujuzee
Naomba kwa wale wenye ndugu zenu walio mawizarani ntujuzee
kwa mujibu wa wazir anayeshughulikia masuala ya ajira, Mh Angela Kairuki, Ajira zitaanza kutoka mara baada ya kumalizika kwa zoezi la watumishi hewa, ambalo kulingana na matamko ya awali ilibidi liwe limefikia ukomo wake wiki iliyopita, ila limeshindwa kukakamilika kwa sabbu baadhi ya watumishi hawajafikisha taarifa kuhusu uhakiki wao, hvyo zoezi kusogezwa mbale mpaka watakapo toa taarifa zingneNdugu zangu wana jf naomba kuuliza ni lini serekali itatoa ajiraa!!!!??
Naomba kwa wale wenye ndugu zenu walio mawizarani ntujuzee
wengine tumezuiliwa mshahara kwa ajili ya uhakiki na tunafamilia sijui watengeneza kitugani kama sio kuichukia serikali maana walisema zoezi litachukua miezi miwili ila sasa ni zaidi... Nimeacha kazi private nakuhamia kituo changu cha kazi nilichopangiwa, nimepokea mshahara wa mwezi mmoja, baada ya hapo mshahara ukasitishwa kupisha uhakiki... sasa nimiezi 3 nipo ugenini sina mshahara na familia inanitegemeaa... Na mpaka sasa hakuna matumaini... hii ni chuki inayotengenezwa...Ila kwa ugumu huu wa maisha daaaa
Yaani maisha ni Magumu sana hasa tuliojiona tulishaajiliwa halafu waraka wa kusitisha ukatoka.Nilijaribu kupiga simu utumishi kwa namba walizoweka 0682800999 lakini call rejected.wengine tumezuiliwa mshahara kwa ajili ya uhakiki na tunafamilia sijui watengeneza kitugani kama sio kuichukia serikali maana walisema zoezi litachukua miezi miwili ila sasa ni zaidi... Nimeacha kazi private nakuhamia kituo changu cha kazi nilichopangiwa, nimepokea mshahara wa mwezi mmoja, baada ya hapo mshahara ukasitishwa kupisha uhakiki... sasa nimiezi 3 nipo ugenini sina mshahara na familia inanitegemeaa... Na mpaka sasa hakuna matumaini... hii ni chuki inayotengenezwa...
pamoja mkuu sijui kama wana tufikiria na wala sijui kama watatulipa fidia maana tumekuwa dilemaYaani maisha ni Magumu sana hasa tuliojiona tulishaajiliwa halafu waraka wa kusitisha ukatoka.Nilijaribu kupiga simu utumishi kwa namba walizoweka 0682800999 lakini call rejected.
Alieshiba........................Yaani maisha ni Magumu sana hasa tuliojiona tulishaajiliwa halafu waraka wa kusitisha ukatoka.Nilijaribu kupiga simu utumishi kwa namba walizoweka 0682800999 lakini call rejected.
unaongea kweli mkuu??? waliomba kazi gani??kuna baadhi ya wanafunzi waliomaliza chuo washaanza kupigiwa simu kwaajili ya usaili wa awali na sekretariati ya utumishi/ajira
Poles sana mkuu, we suffer the same situation, but only God knowswengine tumezuiliwa mshahara kwa ajili ya uhakiki na tunafamilia sijui watengeneza kitugani kama sio kuichukia serikali maana walisema zoezi litachukua miezi miwili ila sasa ni zaidi... Nimeacha kazi private nakuhamia kituo changu cha kazi nilichopangiwa, nimepokea mshahara wa mwezi mmoja, baada ya hapo mshahara ukasitishwa kupisha uhakiki... sasa nimiezi 3 nipo ugenini sina mshahara na familia inanitegemeaa... Na mpaka sasa hakuna matumaini... hii ni chuki inayotengenezwa...
Hawakuomba ila wamejikuta wamepigiwa from no where. Wengi wao wa mzumbe.unaongea kweli mkuu??? waliomba kazi gani??
Hao wanakuwaga ni usalama...kuna vijana mwaka jana wengi waliwachukua kutoka sua..walikuwa wanapigiwa simu na utumishi then wanaenda kuwafanyia usaili darHawakuomba ila wamejikuta wamepigiwa from no where. Wengi wao wa mzumbe.
Aseeh..huwa wanaangalia nini mkuu. Maana hawa naskia wanawambia wajiandae watafanyiwa usaili kikandaHao wanakuwaga ni usalama...kuna vijana mwaka jana wengi waliwachukua kutoka sua..walikuwa wanapigiwa simu na utumishi then wanaenda kuwafanyia usaili dar
Acha uongokuna baadhi ya wanafunzi waliomaliza chuo washaanza kupigiwa simu kwaajili ya usaili wa awali na sekretariati ya utumishi/ajira