Serikali ishitakiwe kwa upotoshaji huu

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Kuna tangazo la dawa mseto, ujumbe unaotolewa kwenye tangazo hili ni kuwa sasa mwanachi anachangia shilingi elufu moja tu kupata dawa hii kwa sababu gharama halisi imelipwa na serikali, ndani ya tangazo hilo hilo kuna ujumbe kuwa tangazo hilo limeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa Marekani, badala ya serikali ya Marekani.

Nina uhakika kuwa matumizi ya neno "watu wa Marekani" ni ya muhimu vinginevyo walipa kodi wa Marekani wangeliishitaki serikali yao lakini linapokuja suala la Tanzania linatumika neno "serikali" kama kwamba serikali haipati pesa kutoka kwa watu wake...

Tanganzo hili linanikwaza sana mimi kama mlipa kodi kwani ni upotoshaji mkubwa sana kusema kuwa gharama zimelipiwa na serikali kwani hizo ni kodi zetu na tunatakiwa tutajwe kama walipa kodi tunaoiwezesha serikali kulipia gharama hizi, kama ambavyo walipa kodi wa Marekani wanatajwa badala ya serikali ya Marekani..

Ninaomba kuwasilisha!
 
Kuna tangazo la dawa mseto, ujumbe unaotolewa kwenye tangazo hili ni kuwa sasa mwanachi anachangia shilingi elufu moja tu kupata dawa hii kwa sababu gharama halisi imelipwa na serikali, ndani ya tangazo hilo hilo kuna ujumbe kuwa tangazo hilo limeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa Marekani, badala ya serikali ya Marekani.

Nina uhakika kuwa matumizi ya neno "watu wa Marekani" ni ya muhimu vinginevyo walipa kodi wa Marekani wangeliishitaki serikali yao lakini linapokuja suala la Tanzania linatumika neno "serikali" kama kwamba serikali haipati pesa kutoka kwa watu wake...

Tanganzo hili linanikwaza sana mimi kama mlipa kodi kwani ni upotoshaji mkubwa sana kusema kuwa gharama zimelipiwa na serikali kwani hizo ni kodi zetu na tunatakiwa tutajwe kama walipa kodi tunaoiwezesha serikali kulipia gharama hizi, kama ambavyo walipa kodi wa Marekani wanatajwa badala ya serikali ya Marekani..

Ninaomba kuwasilisha!

Tupate common definition ya serikali, then kutokea hapo tuta-conclude kama tangazo hilo ni sahihi au vipi!
 
Mi nilifikiri inakuuma nchi kama Tanzania "kulipiwa" dawa kumbe ni jinsi walivyoandika.......mmh!! ukombozi bado sana
 
Back
Top Bottom