The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
Nchi kama India washapiga marufuku siku nyingi ku export mkaa nje ya nchi
Tanzania inaathirika mno kimazingira kwa kutokupiga marufuku kuuza mkaa nje ya nchi
mkaa wa Tanzania ambao nimatokeo ya kuchoma misitu mna miti pori unauzwa
Uarabuni,commoro na UK na Europe kwa ujumla kwa wingi kupitia Kenya na Somalia
Washauri wa Rais na viongozi wengine tuiokoe nchi na uharibifu wa mazingira kwa kuzuia mkaa
kuuzwa nje.
Nchi inayofaidika zaidi na biashara hii ni Kenya ikifuatiwa na Somalia
Tanzania inaathirika mno kimazingira kwa kutokupiga marufuku kuuza mkaa nje ya nchi
mkaa wa Tanzania ambao nimatokeo ya kuchoma misitu mna miti pori unauzwa
Uarabuni,commoro na UK na Europe kwa ujumla kwa wingi kupitia Kenya na Somalia
Washauri wa Rais na viongozi wengine tuiokoe nchi na uharibifu wa mazingira kwa kuzuia mkaa
kuuzwa nje.
Nchi inayofaidika zaidi na biashara hii ni Kenya ikifuatiwa na Somalia