Serikali ingekataza kampeni za kuzuia ukeketaji..Ni propaganda za mabeberu

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Kama Rais wetu alivyopiga marufuku kampeni za uzazi wa mpango, kwa kuwa ni propaganda za mabeberu na sasa hivi hazisikiki tena radioni na watanzania wanazaa wapendavyo,

Rais wetu pia juzi alisikika akiwahimiza wazazi kutowagundisha watoto wao English badala yake lugha za asili kama Kisukuma, huu ni uzalendo wa hali ya juu..!

Tungeomba pia Rais wetu mzalendo, angefutilia mbali hizi kampeni za kuzuia ukeketaji kwani ni mila yetu ya asili, hatutaki kupoteza mila zetu ya asili, tunadanganywa na mabeberu kuukataa Uafrika wetu..!
 
Kama Rais wetu alivyopiga marufuku kampeni za uzazi wa mpango, kwa kuwa ni propaganda za mabeberu na sasa hivi hazisikiki tena radioni na watanzania wanazaa wapendavyo,

Rais wetu pia juzi alisikika akiwahimiza wazazi kutowagundisha watoto wao English badala yake lugha za asili kama Kisukuma, huu ni uzalendo wa hali ya juu..!

Tungeomba pia Rais wetu mzalendo, angefutilia mbali hizi kampeni za kuzuia ukeketaji kwani ni mila yetu ya asili, hatutaki kupoteza mila zetu ya asili, tunadanganywa na mabeberu kuukataa Uafrika wetu..!

Wao watoto wzo hawasomi shule za serikali, hafu wanashawishi maskini wasijue kiinglish na lugha zingine za Kigeni mwishowe watoto wao watakuja kuchukua ajira zote hadi za kubeba watalii. Mchina mwenyewe anajitahidi raia wake wajue lugha mbalimbali duniani ili waweze kusambaa huko na kufanya kazi. Wale ambao wanashabikia kiswahili kiwe lugha ya kufundishia waulizeni watoto wao wanasoma shule zipi?
 
Nimesoma post yako lakin hauna point za mashiko.
Ulichema sababu si mila na desturi.. mila na desturi hazitoshi...
Madhara yake yakoje.? Mbona makabila mengine yalikuwa hayakeketi na maisha yalienda sawa?

Faida na hasara za ukeketaji ni zipi?
Kama Rais wetu alivyopiga marufuku kampeni za uzazi wa mpango, kwa kuwa ni propaganda za mabeberu na sasa hivi hazisikiki tena radioni na watanzania wanazaa wapendavyo,

Rais wetu pia juzi alisikika akiwahimiza wazazi kutowagundisha watoto wao English badala yake lugha za asili kama Kisukuma, huu ni uzalendo wa hali ya juu..!

Tungeomba pia Rais wetu mzalendo, angefutilia mbali hizi kampeni za kuzuia ukeketaji kwani ni mila yetu ya asili, hatutaki kupoteza mila zetu ya asili, tunadanganywa na mabeberu kuukataa Uafrika wetu..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna faida gani kukeketa mtoto wa kike?
Hili ni suala/swali muhimu sana ambalo wanaofanya kampeni against ukeketaji nafikiri wamelipuuza sana. Wamejikita zaidi kwenye hasara wakaacha kutoa mbinu mbadala za jamii husika kuendelea kupata faida au kutimiza malengo yao. Jamii nyingi zilikuwa zinakeketa na nyingi bado zinaendelea kukeketa. Bila ya shaka wanaona "faida" yake, maana watakuwa ni punguani kufanya jambo ambalo hawaoni manufaa yake.

Baadhi ya faida ambazo binafsi nimewahi kuzisikia:
1. Mwanamke "kutulia" (inapunguza nyege). Hili kama ni kweli, linaweza kudumisha ndoa na pengine kupunguza magonjwa.
2. Usafi. Kisimi kinatunza utoko kama ambavyo govi linatunza utoko. Jamii zinaamini utoko ni uchafu. Kwa hivyo sababu (faida) ya kukeketa hapa inafanana na ya kutahiri wanaume.
3. Uhusiano. So kama ambavyo sasa mwanamke anaweza kumkataa mwanaume govi, vivyo hivyo kwenye jamii hizo mwanamke asiyetahiriwa anaweza kukosa mume.
4. Inalinda tamaduni na imani. Wanaamini mwanamke ili akamilike ni lazima akeketwe. Mwanamke asiyekeketwa ni nuksi katika ukoo/familia. Atakaribisha mabalaa na mikosi katika familia. Sasa suala la imani sio suala jepesi. Si lazima mtu awe na sababu kuamini anachomini.

Naamini zipo nyingine nyingi tu (kwa nia ya kujifunza, wanaozijua nyingine wanaweza kuongezea). Sasa hizo nilizotaja kama kila mtu anaweza kuona kuwa ni faida ni suala debatable na pengine la kiimani zaidi.

Sasa kama hizo nilizotaja zipo na ni za kweli, hiwezi kusema tu watu waache ukeketeji ukaeleweka hata ukitoa vitisho. Ni kweli wengine wanakufa katika kukeketwa lakini naamini wengi hawafi ndio sababu hiyo mila inaendelea.

Binafsi ningetamani kuwa na mbinu mbadala ambazo zitazuia au kupunguza vifo lakini hapo hapo jamii husika kuendelea kupata "faida" zao. Kama ambavyo kwa mfano watoto wetu wa kiume tunawatahiri hospitality kwa njia salama kabisa. Naamini ile ya kutahiri porini bila ganzi ilikuwa inauwa pia. Kwa mfano, badala ya kukikata kisimi na kukitoa kabisa, haiwezekani kukitahiri kisimi? Ili kisiweke utoko. Au namna nyingine ya kufanya ukeketaji kwa njia iliyo salama kabisa? Kama watu wanabadilishwa jinsia hospitali na sio jambo linaloonekana la kutishia maisha, itakuwa kukeketa?

Nimepanua tu mjadala. Tujadiliane bila mihemko ili tusaidie jamii zetu na kulinda tamaduni zetu. Ukitizama sana, nyingi ya tamaduni zetu zilikuwa na maana kubwa tu na pengine haikuwa sawa kuzi abandon the way we have done.
 
Hili ni suala/swali muhimu sana ambalo wanaofanya kampeni against ukeketaji nafikiri wamelipuuza sana. Wamejikita zaidi kwenye hasara wakaacha kutoa mbinu mbadala za jamii husika kuendelea kupata faida au kutimiza malengo yao. Jamii nyingi zilikuwa zinakeketa na nyingi bado zinaendelea kukeketa. Bila ya shaka wanaona "faida" yake, maana watakuwa ni punguani kufanya jambo ambalo hawaoni manufaa yake.

Baadhi ya faida ambazo binafsi nimewahi kuzisikia:
1. Mwanamke "kutulia" (inapunguza nyege). Hili kama ni kweli, linaweza kudumisha ndoa na pengine kupunguza magonjwa.
2. Usafi. Kisimi kinatunza utoko kama ambavyo govi linatunza utoko. Jamii zinaamini utoko ni uchafu. Kwa hivyo sababu (faida) ya kukeketa hapa inafanana na ya kutahiri wanaume.
3. Uhusiano. So kama ambavyo sasa mwanamke anaweza kumkataa mwanaume govi, vivyo hivyo kwenye jamii hizo mwanamke asiyetahiriwa anaweza kukosa mume.
4. Inalinda tamaduni na imani. Wanaamini mwanamke ili akamilike ni lazima akeketwe. Mwanamke asiyekeketwa ni nuksi katika ukoo/familia. Atakaribisha mabalaa na mikosi katika familia. Sasa suala la imani sio suala jepesi. Si lazima mtu awe na sababu kuamini anachomini.

Naamini zipo nyingine nyingi tu (kwa nia ya kujifunza, wanaozijua nyingine wanaweza kuongezea). Sasa hizo nilizotaja kama kila mtu anaweza kuona kuwa ni faida ni suala debatable na pengine la kiimani zaidi.

Sasa kama hizo nilizotaja zipo na ni za kweli, hiwezi kusema tu watu waache ukeketeji ukaeleweka hata ukitoa vitisho. Ni kweli wengine wanakufa katika kukeketwa lakini naamini wengi hawafi ndio sababu hiyo mila inaendelea.

Binafsi ningetamani kuwa na mbinu mbadala ambazo zitazuia au kupunguza vifo lakini hapo hapo jamii husika kuendelea kupata "faida" zao. Kama ambavyo kwa mfano watoto wetu wa kiume tunawatahiri hospitality kwa njia salama kabisa. Naamini ile ya kutahiri porini bila ganzi ilikuwa inauwa pia. Kwa mfano, badala ya kukikata kisimi na kukitoa kabisa, haiwezekani kukitahiri kisimi? Ili kisiweke utoko. Au namna nyingine ya kufanya ukeketaji kwa njia iliyo salama kabisa? Kama watu wanabadilishwa jinsia hospitali na sio jambo linaloonekana la kutishia maisha, itakuwa kukeketa?

Nimepanua tu mjadala. Tujadiliane bila mihemko ili tusaidie jamii zetu na kulinda tamaduni zetu. Ukitizama sana, nyingi ya tamaduni zetu zilikuwa na maana kubwa tu na pengine haikuwa sawa kuzi abandon the way we have done.
Nimekuelewa mzee asante kwa jitihada. Unafikiri hizi faida zina maana kwa kizazi cha leo???

Hizi ni hasara za ukeketaji
1. Kwa mjini mwanamke akigunduliwa amekeketwa hakuna kijana atakae muona(kapunguza utamu kutoa kisimi)
2. Kumwaga damu nyingi (huenda kifo kukatokea)
3. Mwanamke kushndwa kujiamini
4. Kuzaa kwa shida (sababu njia ina kovu) huenda akazaa kwa kisu
5. Kukosa hamu ya ngono(ambayo ni zawadi toka kwa Mungu)


My take siezi kuwa na mwanamke aliekeketwa sababu hana stimu kitandani kama gogo,pia waliowahi kulala nao kama kakatwa vibaya anaumiza uume baadhi ya staili.
 
Hata ili swala la kuvaa nguo unajifunika mwili mzima sio asili ya mwafrika Raisi alitazame, na pia kuna swala dini awe anaomba tumuombe kwa mizimu na mababu na miti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Rais wetu alivyopiga marufuku kampeni za uzazi wa mpango, kwa kuwa ni propaganda za mabeberu na sasa hivi hazisikiki tena radioni na watanzania wanazaa wapendavyo,

Rais wetu pia juzi alisikika akiwahimiza wazazi kutowagundisha watoto wao English badala yake lugha za asili kama Kisukuma, huu ni uzalendo wa hali ya juu..!

Tungeomba pia Rais wetu mzalendo, angefutilia mbali hizi kampeni za kuzuia ukeketaji kwani ni mila yetu ya asili, hatutaki kupoteza mila zetu ya asili, tunadanganywa na mabeberu kuukataa Uafrika wetu..!
Hivi mnajua madhara ya ukabila au mnayasikia..? Laiti Mwl. Nyerere angetokea akawasimulia shida alizopata kuvunja ukabila na ukanda mungeshangaa sana, tuhimize kiswahili si lugha za kibantu aisei..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Rais wetu alivyopiga marufuku kampeni za uzazi wa mpango, kwa kuwa ni propaganda za mabeberu na sasa hivi hazisikiki tena radioni na watanzania wanazaa wapendavyo,

Rais wetu pia juzi alisikika akiwahimiza wazazi kutowagundisha watoto wao English badala yake lugha za asili kama Kisukuma, huu ni uzalendo wa hali ya juu..!

Tungeomba pia Rais wetu mzalendo, angefutilia mbali hizi kampeni za kuzuia ukeketaji kwani ni mila yetu ya asili, hatutaki kupoteza mila zetu ya asili, tunadanganywa na mabeberu kuukataa Uafrika wetu..!
Subiri uje utengeneze serikali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom