Serikali inaweza kugawa Uniform kwa wanafunzi nchi nzima

kasinge

JF-Expert Member
May 22, 2011
1,259
319
Katika mikutano yote niliyoenda na kuona kwenye TV, nimeshuhudia watu wakivalia sare za vyama vyao kwa maelfu. CCM wametia fora. Hii imenipa imani kuwa serikali inaweza kugawa uniform na kutoa elimu bila ada kama wagomea wengi au wote walivoahidi. Ukichukua hela zilizotumika kujaza viwanja na zile nauli na usumbufu wa kukaa kwenye jua + lunch, hizi pesa zinatosha kulipa madai ya walimu na kumaliza mgogoro wa walimu na serikali.
Sasa nauliza, huwa tunashindwa wapi? Ni nani mchawi wetu? Ewe Mungu ebu tuongoze tumlete mja wako, atakaye weza kutatua matatizo haya ambayo ni matatizo ya kutengezwa na binadamu kwa kukosa maono. Tupe kiongozi mwenye maono.
 
mkuu mkiambiwa hilo linawezekana watu wanatokwa na maneno na kupinga kwa nguvu zote kuwa haiwezekani.bora ww umeona kwa hi
 
mkuu mkiambiwa hilo linawezekana watu wanatokwa na maneno na kupinga kwa nguvu zote kuwa haiwezekani.bora ww umeona kwa hi
Hii lazima niivalie njuga mwakani kwa serikali inayokuja, itoe uniform bure kwa wanafunzi.
 
nchi zetu hizi zinaendeshwa kwa maigizo sana. basi tu!

Katika mikutano yote niliyoenda na kuona kwenye TV, nimeshuhudia watu wakivalia sare za vyama vyao kwa maelfu. CCM wametia fora. Hii imenipa imani kuwa serikali inaweza kugawa uniform na kutoa elimu bila ada kama wagomea wengi au wote walivoahidi. Ukichukua hela zilizotumika kujaza viwanja na zile nauli na usumbufu wa kukaa kwenye jua + lunch, hizi pesa zinatosha kulipa madai ya walimu na kumaliza mgogoro wa walimu na serikali.
Sasa nauliza, huwa tunashindwa wapi? Ni nani mchawi wetu? Ewe Mungu ebu tuongoze tumlete mja wako, atakaye weza kutatua matatizo haya ambayo ni matatizo ya kutengezwa na binadamu kwa kukosa maono. Tupe kiongozi mwenye maono.
 
Katika mikutano yote niliyoenda na kuona kwenye TV, nimeshuhudia watu wakivalia sare za vyama vyao kwa maelfu. CCM wametia fora. Hii imenipa imani kuwa serikali inaweza kugawa uniform na kutoa elimu bila ada kama wagomea wengi au wote walivoahidi. Ukichukua hela zilizotumika kujaza viwanja na zile nauli na usumbufu wa kukaa kwenye jua + lunch, hizi pesa zinatosha kulipa madai ya walimu na kumaliza mgogoro wa walimu na serikali.
Sasa nauliza, huwa tunashindwa wapi? Ni nani mchawi wetu? Ewe Mungu ebu tuongoze tumlete mja wako, atakaye weza kutatua matatizo haya ambayo ni matatizo ya kutengezwa na binadamu kwa kukosa maono. Tupe kiongozi mwenye maono.


sisi kina gogo la shamba tunakupongeza sana kwa maono yako baada ya kumuonyesha mke wangu wazo lako ameniambia kura yake sasa kwa Lowasa ingawa kila siku alikuwa ananiambia atamchagua Pombe, nina imani kila atakaelisoma wazo lako atabadilika
 
Back
Top Bottom