Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Wakuu hebu tujadili hili.
Serikali imetoa wito kutoskia shamrashamra za sikukuu ya Pasaka mwaka huu tofauti na miaka mingine kisa bado tupo kwenye maombolezo.
Je, Swali kwa Serikali inamaana hawakuona zile kelele na shamrashamra Bungeni baada ya jina la Philipo Isdor Mpango kupendekezwa na mama Samia?
Yaani wao walisherekea Jina tu, je sisi swala la kidini kwa nini waingilie kati.
Tuchangie mawazo wanandugu
Serikali imetoa wito kutoskia shamrashamra za sikukuu ya Pasaka mwaka huu tofauti na miaka mingine kisa bado tupo kwenye maombolezo.
Je, Swali kwa Serikali inamaana hawakuona zile kelele na shamrashamra Bungeni baada ya jina la Philipo Isdor Mpango kupendekezwa na mama Samia?
Yaani wao walisherekea Jina tu, je sisi swala la kidini kwa nini waingilie kati.
Tuchangie mawazo wanandugu