Serikali inavunja ndoa za watumishi wake

Issue hii ni nyeti na sio suala la kuangalia mke na mme tu na mambo ya kutiana, kuna issue ya watoto ambayo kwangu ni muhimu sana. Child development ni muhimu sana, na role ya baba na mama ni nguzo kuu.

Wewe unayetoa mfano wa mme Dar na mke Japan na kufananisha issue ya Mtwara vs Kagera ni wazi hujui usemalo.

Nakubaliana nawe. Naamini malezi ya watoto plus kuenjoy mambo ya ndoa. Kama tunajenga taifa lazima tuanzie kwenye familia. Familia bora ndio huzaa taifa bora.
 
tatizo watanzania wamezidi wanapenda sana mijini na ndio maana serikali ikafanya hivi kutokana na wasomi wengi kutokukubali kufanya kazi vijijini kwa kisingizio cha ndoa
 
Mwajiri anaweza kukuhamishia mahalai popote ambapo anaona unaweza kusaidi taifa. Hilo swala la wewe kuwa na mkeo au mume karibu halipo katika mkataba wa kazi , hapo ni utasha wa mwajiri tu lakini hakuna kanuni wala sheria ya utumisha wa umma ambayo inasema lazima mume au mke wakae karibu.
Kuwenu wa pole angalie barua zenu za ajira kwanza ndipo muaze kuilaumu serikali fanyeni kazi bwana acheni maneno. Kupata vishawishi hiyo ni akili yako tu na kujiiendekeza.
 
Mwajiri anaweza kukuhamishia mahalai popote ambapo anaona unaweza kusaidi taifa. Hilo swala la wewe kuwa na mkeo au mume karibu halipo katika mkataba wa kazi , hapo ni utasha wa mwajiri tu lakini hakuna kanuni wala sheria ya utumisha wa umma ambayo inasema lazima mume au mke wakae karibu.
Kuwenu wa pole angalie barua zenu za ajira kwanza ndipo muaze kuilaumu serikali fanyeni kazi bwana acheni maneno. Kupata vishawishi hiyo ni akili yako tu na kujiiendekeza.

Hapo ndugu umedanganya, si kweli kuwa masharti ya ajira yapo kwenye barua ya ajira tu, kuna sheria na kanuni pia, na sidhani unaloongea kuwa sheria na kanuni za utumishi wa umma zipo kimya katika hili.
 
Issue hii ni nyeti na sio suala la kuangalia mke na mme tu na mambo ya kutiana, kuna issue ya watoto ambayo kwangu ni muhimu sana. Child development ni muhimu sana, na role ya baba na mama ni nguzo kuu.

Wewe unayetoa mfano wa mme Dar na mke Japan na kufananisha issue ya Mtwara vs Kagera ni wazi hujui usemalo.

Mkuu,

Hapo nakuunga mkonio kabisa hasa kwenye suala la development ya watoto. Ninachokiaona kwa wafanyakazi wengi wa serikali ni ngumu kusettle na familia zao. Unapangiwa kazi Mtwara, baada ya miaka miwili unahamishiwa Mbeya. Hujakaa vizuri unaambiwa ukazibe nafasi ya mtu Morogoro. Unakaa pale kidogo mara unahamishiwa Mwanza, kabla ya kurudishwa Dar Es Salaamu kwa kazi maalumu then unapelekwa Tabora kukaimu nafasi ya mtu. Nafikiri ni ngumu sana kwa development ya watoto.

The family constitutes the first cell of the State. Sasa utajengaje nchi wakati huzingatii the family? Serikali inabidi itake into account interests za watoto wa waajiriwa. Otherwise, tutaendelea kuwa na broken families leading to a broken state.
 
miaka ya mwanzo ilikuwa utaratibu wa lazima kwamba mume ambaye ni mtumishi wa serikali anapohama basi lazima mkewe kama naye ni mtumishi anapoomba kumfuata huko alikohamia lazima apewe naye transfer kumfuata, lakini kwa sasa utaratibu huo umekufa kabisa. Spouse anapoomba kumfuata mwenza wake hujibiwa hakuna nafasi na atapewa vitisho kwamba achague kazi au mume! lakini hapo hapo watumishi wengine wenza wao wanapohamishwa na wao wakiomba uhamisho maombi yao hukubaliwa haraka haraka.uhamisho wa sasa unafanywa kwa kujuana, upendeleo,rushwa(ya pesa na ya ngono) maana ya ndoa ni kuishi wawili sasa ni ndoa gani ambayo mume yupo mtwara na mke kagera! Au serikali yenyewe inaona wenye haki ya kuishi na wenza wao ni vigogo tu ambao wake zao hutafutiwa nafasi popote pale waume au wake zao vigogo wanapohamia lakini watumishi wa chini huambiwa hakuna nafasi na hukaa miaka tele mbali na wenza wao. Kuna matukio ya wakubwa kuwahamisha waume vituo ili wapate nafasi za kujivinjari na wake wa watumishi hao. Serikali inajua kuajiri tu watumishi bila kujali hao watumishi nao walizaliwa na wanahitaji malezi ya wazazi wawili! Mtu anapokaa mbali na mwenza wake obviously ataelemewa na vishawishi ambavyo kama angekuwa na mwenzake angeweza kuvihimili, katika zama hizi za ukimwi tuzidi kuona siyo kuvunjika ndoa tu ila vifo zaidi!
acheni kutafuta mchawi wa vifo vya ndoa........wachawi ni wanaNdoa wenyewe... Ndo maana mnaulizwa kwenye usaili kama mko tayari kafnya kazi mahala popote....!!
 
serikali inavunja wapi ndoa za watu!!!!!!!!!!!!!!! ndoa unavunja wewe mwenyewe kwa kuendekeza tamaa za ngono. si sababu kuwa mbali ndoa inavunjika. kuwa karibu na mke au mume ni huo ni utashi wa mwajiri mwenyewe na pia hakuna sheria wala kanuni za utumishi wa umma zinazoelekeza kuwa mume au mke ambao wote ni watumishi wa serikali lazima wakae pamoja.
hivi umeajiriwa kama mhasibu mfano masasi na mtaalumu upo wewe tu ,je ni busara uruhusiwe kuhama kwenda moshi sababu unamfata mkeo au mume ? hapana wewe umekubali kuajiriwa fanya kazi , cha msingi acha kuendekeza tamaa.

plz wana JF kuna tabia ya watu kufuta michango ya wengine sababu wanakuwa tofauti na mitazamo yao, si vyema. kwa sasa sitaki kuwataji ila si vizuri kila mmoja achwe atoe maonii yake.
 
Mkuu mazingira ya sasa yamebadilika kubaliana nayo tu na muamini mkeo au mumeo basi. Kuhusu sijui uko Kagera na wewe Mtwara. Kuna jamaa yangu mie anafanya kazi Dar na Mkewe yupo Japan sasa huyo unasemaje? Come on grow up and get a life!!!

Je watoto wanaishi japan au dar?! Ndo maana hapo hakuna hata malezi mazuri kwa watoto toka kwa baba na mama na wanaishia kuwa vibaka!
 
NDOA ni kuishi wawili/pamoja kama itatokea watu wakaishi mbali it should be on temporary basis only! mfano for further studies au wakati unashughulikia transfer,otherwise it is not MARRIAGE ni artificial marriage! PAPER MARRIAGE na Mwajiri yeyote anatakiwa kutambua na kuheshimu haki hiyo,otherwise hakuna tofauti na SLAVERY! Kwa wakristo hata mtume Paul alisema ili kuepuka ZINAA WATU WAOE! UTAEPUKA ZINAA VIPI NA MKEO AU MUMEO YUPO MBALI?!? Eti ngono ni kuendekeza tamaa I beg to differ kama wewe ni mwanaume au mwanamke RIJALI NA siyo mtoto si riziki,lazima utasikia kiu ya kujamiiana muda unapofika kama hamu ya chakula au maji. NDOA INA FAIDA NYINGI si kuepuka zinaa tu, MALEZI ya watoto tabia zao,utafiti umeonyesha kulea mtoto kwa mzazi mmoja tu kunachangia HOMOSEXUALITY! SAMAHANI KWA WALIOELELEWA NA MZAZI mmoja,nasema inachangia its one of the MANY factors,NOT the only cause. Madhara ni mengi,kiuchumi na kijamii, which life are you getting kwa kuishi mbali na spouse wako! wewe upange nyumba,na yeye apange yake,kila mmoja anunue kitanda,tv, gari,furniture, pay bills etc etc wakati mngekaa pamoja mngeshare everything even toothpastes! wanaoona marriage is just possessing legal papers waendelee na unafiki wao, HYPOCRITES wapo na wataendelea kuwepo na wagonjwa wa kibailojia wataendelea kuwepo!
 
Back
Top Bottom