Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Hivi sasa imekuwa kawaida kwa viongozi wa serikali kuinyoshea vidole serikali hiyo hiyo wanayoiongoza, je hii ni haki kwa wananchi ?
Je kuna uhalali wowote kwa serikali inayoshindwa kutimiza wajibu wake kuendelea kubaki madarakani ?
Je, Waziri Mkuu anapodiriki kusema kuwa matatizo yanayoikabili serikali yanasababishwa na watendaji wake, hii maana yake ni nini ?
Je, Raisi anapolalamika na kuilaumu serikali kwa kutumia ubabe kushugulikia matatizo ya wanannchi, kweli yupo sahihi ?
Je Waziri Mkuu anaposema watuhumiwa wa EPA wana nguvu ya kuitetemesha nchi, je hizo nguvu wanazitoa wapi ?
Je Raisi anapowaruhusu wezi kurudisha mali waliyoiba bila kushtakiwa, anatumia vigezo gani kwenye katiba ?
Kama Mkuu wa Brela anashindwa kutaja wamililki wa Kagoda na bado anaendelea na kibarua chake, hicho kiburi anatoa wapi ?
Je, je, je, ?????? Najiuliza, sipati majibu - hivyo naenda kulala.
Je kuna uhalali wowote kwa serikali inayoshindwa kutimiza wajibu wake kuendelea kubaki madarakani ?
Je, Waziri Mkuu anapodiriki kusema kuwa matatizo yanayoikabili serikali yanasababishwa na watendaji wake, hii maana yake ni nini ?
Je, Raisi anapolalamika na kuilaumu serikali kwa kutumia ubabe kushugulikia matatizo ya wanannchi, kweli yupo sahihi ?
Je Waziri Mkuu anaposema watuhumiwa wa EPA wana nguvu ya kuitetemesha nchi, je hizo nguvu wanazitoa wapi ?
Je Raisi anapowaruhusu wezi kurudisha mali waliyoiba bila kushtakiwa, anatumia vigezo gani kwenye katiba ?
Kama Mkuu wa Brela anashindwa kutaja wamililki wa Kagoda na bado anaendelea na kibarua chake, hicho kiburi anatoa wapi ?
Je, je, je, ?????? Najiuliza, sipati majibu - hivyo naenda kulala.