Serikali ina kila sababu ya kujitafakari ni wapi imekosea

Serikali ina kila sababu ya kujitafakari ni wapi imekosea

Ilighena

Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
14
Reaction score
20
Habari za asubuhi wanajamvi, kuna jambo najiuliza sana.

Hivi kweli Tanzania tumefikia hatua ya kuhamasishwa kwa matamasha, vitisho ndio tukahesabiwe?
Nini mbaya?

Tumekosea wapi?

Je, viongozi wetu wamekosa mwelekeo?
 
Back
Top Bottom