Ilighena Member Joined Jul 20, 2022 Posts 14 Reaction score 20 Aug 22, 2022 #1 Habari za asubuhi wanajamvi, kuna jambo najiuliza sana. Hivi kweli Tanzania tumefikia hatua ya kuhamasishwa kwa matamasha, vitisho ndio tukahesabiwe? Nini mbaya? Tumekosea wapi? Je, viongozi wetu wamekosa mwelekeo?
Habari za asubuhi wanajamvi, kuna jambo najiuliza sana. Hivi kweli Tanzania tumefikia hatua ya kuhamasishwa kwa matamasha, vitisho ndio tukahesabiwe? Nini mbaya? Tumekosea wapi? Je, viongozi wetu wamekosa mwelekeo?
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 61,236 Reaction score 98,405 Aug 22, 2022 #2 Ilighena said: vitisho Click to expand... Wapi wametoa vitisho?