Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Hawezi kujitenga nae kirahisi, lakini leo nampa njia rais na salama kuliko zote na itakayompa amani wakati wote wa maisha yake mheshimiwa Rais.

AMUUE.

Baada ya hapo, hatakokuwa na la kuhofia.

Kama mke wake anaweza kuwa tishio kwa namna yoyote ile.

AMUUE PIA.

Lakini na hao watakaotekeleza mauaji, itabidi AWAUE PIA.

Hana pa kutokea, Aibu kubwa inamnyemelea mwenyekiti wako. kisu alichokishika kina kula kutatu.
True huwezi mtumbua mbeba siri ili kulinda siri lzm maamuzi magumu yafanyike
 
Inakuwa vigumu sana kujitenga na sehemu ya mwili wako!
Mfano ni sawa na kumwambia ajitenge na mikono yake!
Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!

Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?

Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi kujitenga nae kirahisi, lakini leo nampa njia rais na salama kuliko zote na itakayompa amani wakati wote wa maisha yake mheshimiwa Rais.

AMUUE.

Baada ya hapo, hatakokuwa na la kuhofia.

Kama mke wake anaweza kuwa tishio kwa namna yoyote ile.

AMUUE PIA.

Lakini na hao watakaotekeleza mauaji, itabidi AWAUE PIA.

Hana pa kutokea, Aibu kubwa inamnyemelea mwenyekiti wako. kisu alichokishika kina kula kutatu.

Kiukweli kabisa, kama kunakitu binaadamu tunapaswa kujiepusha nacho kwa namna yoyote ile, ni kutoa uhai wa binaadamu mwingine. Ukiishafanya hicho kitendo unakuwa umetoa rehani uhuru wako wa kuishi
Suluhisho ni makonda kuuwawa!
 
Kwani Marekani ni mbinguni ambako wanaoingia ni watakatifu pekee?
Hii mifano ya kijuha ndiyo imepelekea Daud Bashite kuendelea kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani na unyama mwingineo mwingi, badala umkatazee aache unyanyasaji wake unaanza kumfundisha kujimwambafy
 
akimuacha Bashite ofisini means yeye ndiyo huwa anamtuma kutekeleza hayo anayoshutumiwa nayo Bashite.
Katika kila utawala kunakuwa na mbuzi wa kafala. Unakumbuka jinsi Mwalimu alivyokuwa anamtuma Kawawa na likibumbuluka anauza, "Je, Rashid mie ndiye nilikutuma?". Kawawa anasema hapana. Je, unakumbuka issue ya sukari na Idd Simba? Huo ndio uongozi, hata kama amemtuma lazima Makonda amsitili na njia rahisi sana ni Makonda kujiuzulu au afukuzwe kazi kwa kuuma jino. Utawala upo hivyo na ni jukumu la sie kulinda taasisi ya urais
 
Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!

Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?

Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
kwani marekani ni nani?
kwamba kila atakachosema tufuate
walishatutawala wakati wa ukoloni inatosha
 
Cyprian Musiba na Le mutuz sasa wanakula pesa za mtukufu na Daud Bashite kama mchwa kwa kisingizio cha kuwasaidia kuepuka mkono wa marekani, Le mutuz kaandaa bajeti kubwa kwa ajili ya ndumba za kila aina, kufa kufaana
 
kwa anavyo wachinja waislamu wenzangu watoto kwa.wazee bila kosa namuona ni shetani...

Ila kwavile USA ni muzungu nakuunga mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
Magaidi ujifichia kwa wanawake na watoto ili kupata cover ili dunia ipone inabidi hata wasio na hatia wajitoe sadaka bila hivo dunia ingetawaliwa na ISIS,Alqaeda,Mujahidin,alshabab,boko.
Ningekuwa trump hawa madikteta,wababe wa kivita,makundi ya kigaidi,vikundi vya waasi,wajamaa ningewasafirisha waondoke duniani hawa ndio wanaoisumbua dunia wangechezea drones wapotelee mbali,haiwezekani watu wachache waliokosa malezi bora utotoni waachwe waiharibu dunia hivihivi.Check dunia inavoingia gharama za kuwahudumia wakimbizi sababu ya ujinga Wa wachache hizo Pesa si zingeenda kwenye mengine ya kuisaidia dunia
 
Tangia nimejua kua bashite na Hamida ni mtu na dada yake basi nikaacha kuumiza kichwa kujiuliza kwann jiwe kuu linapata tabu sana kumtumbua, sana sana hua nawaangalia naishia kucheka tuu hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cyprian Musiba na Le mutuz sasa wanakula pesa za mtukufu na Daud Bashite kama mchwa kwa kisingizio cha kuwasaidia kuepuka mkono wa marekani, Le mutuz kaandaa bajeti kubwa kwa ajili ya ndumba za kila aina, kufa kufaana
Ndumba zitawasaidia nn hali wako uchi
 
Katika kila utawala kunakuwa na mbuzi wa kafala. Unakumbuka jinsi Mwalimu alivyokuwa anamtuma Kawawa na likibumbuluka anauza, "Je, Rashid mie ndiye nilikutuma?". Kawawa anasema hapana. Je, unakumbuka issue ya sukari na Idd Simba? Huo ndio uongozi, hata kama amemtuma lazima Makonda amsitili na njia rahisi sana ni Makonda kujiuzulu au afukuzwe kazi kwa kuuma jino. Utawala upo hivyo na ni jukumu la sie kulinda taasisi ya urais
Daud Bashite ni msiri wa mtukufu na pia ni dalali wa ununuzi wa Ndege na ana 10% zake kwenye miradi yote mikubwa kwa kifupi ni mashirika wake mkubwa na pengine America wamemtumia Bashite kupeleka salam kwa mtukufu malaika toka chato.
 
Daud Bashite ni msiri wa mtukufu na pia ni dalali wa ununuzi wa Ndege na ana 10% zake kwenye miradi yote mikubwa kwa kifupi ni mashirika wake mkubwa na pengine America wamemtumia Bashite kupeleka salam kwa mtukufu malaika toka chato.
Huwezitenganisha remote na tv miguu na meza uganga na tunguli ukiondoa kimoja vyote ufa
 
Back
Top Bottom