Usipate shida mkuu,hata wenyewe wanabaguana. Miongoni mwao kuna Waziba,Wanyaihangiro,Bahyoza,Wahamba,Baendangabo,Wanyambo n.k ndani zaidi kuna koo za kitemi aka Abalangira na watwana....wewe chapa kazi achana nao hawana jipya. Enzi zao zimeisha wamebaki kama CUF.