bashite kaya
Senior Member
- Jan 15, 2018
- 128
- 48
Serikali imetoa tangazo la Ajira KADA ZA afya swali langu kwa wadau daraja la pili manake nini sijaelewa naomba anayejua ufafanuzi jamani .
=======
Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa kushirikiana na Taasisi ya Benjamin William Mkapa inapenda kuwatangazia wahitimu wa kada za afya nchini kuwasilisha maombi ya nafasi za kazi, kuanzia tarehe 20/01/2020 hadi tarehe 07/02/2020 ili kujaza nafasi mbalimbali za Kada ya Afya katika Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati.
Sent using Jamii Forums mobile app
=======
Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa kushirikiana na Taasisi ya Benjamin William Mkapa inapenda kuwatangazia wahitimu wa kada za afya nchini kuwasilisha maombi ya nafasi za kazi, kuanzia tarehe 20/01/2020 hadi tarehe 07/02/2020 ili kujaza nafasi mbalimbali za Kada ya Afya katika Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati.
Sent using Jamii Forums mobile app