Wasipojipendekeza hivyo unadhani watakula wapiView attachment 2585457
Nashindwa na kuchoka kuelewa lengo la mleta taarifa.Lengo ni nini?
Mbona Magufuri miaka yote mitano ya utawala wake hakuwahi toa kibali cha ajira ina maana Serikali haikuwepo?View attachment 2585457
Nashindwa na kuchoka kuelewa lengo la mleta taarifa.Lengo ni nini?
Serikali ya rais Samia Suluhu HasanView attachment 2585457
Nashindwa na kuchoka kuelewa lengo la mleta taarifa.Lengo ni nini?
Ndio utaratibu aliouasisi JiweView attachment 2585457
Nashindwa na kuchoka kuelewa lengo la mleta taarifa.Lengo ni nini?
We tuma maombi ya KAZI mapema shauri yako ??!Nchi imeshakuwa ya kinafiki sana mkuu, uchawa na upambe ndo imekuwa njia ya maisha kwa walio kwenye teuzi na wale wanaotafuta teuzi.
Vipi kipindi Cha Magufuli, serekali ndio ilizuia ajira ?View attachment 2585457
Nashindwa na kuchoka kuelewa lengo la mleta taarifa.Lengo ni nini?
Mnateseka na marehemu vyawa nyinyiMbona Magufuri miaka yote mitano ya utawala wake hakuwahi toa kibali cha ajira ina maana Serikali haikuwepo?
Hili lichawa naloNdio utaratibu aliouasisi Jiwe
Kwani Serikali iliyopitA ilitoA ajira ngapi?? Kama sio juhudi za Rais... watu mnajitoA ufahamu...View attachment 2585457
Nashindwa na kuchoka kuelewa lengo la mleta taarifa.Lengo ni nini?
UCHAWA TU hakuna kingineView attachment 2585457
Nashindwa na kuchoka kuelewa lengo la mleta taarifa.Lengo ni nini?
Hakuna serikali ya Mtu Hayati Mkapa aliwahi kumwambia Magufuli na MACHAWA wake kuwa hakuna serikali ya MagufuliSerikali ya rais Samia Suluhu Hasan