alm
Member
- Oct 16, 2013
- 88
- 108
lengo lao ni kuvuruga na kuwatoa watu kwenye reli ya kujadili hizi skendo za ufisadiIla mimi kilichonishangaza ni kwamba anayetaka aombe.Kuna haja gani ya kufanya hivyo wakati waliomba tangu miaka mitatu huko nyuma application zao ziko kwenye kanzidata za TAMISEMI kwa nini wasichambue huko ili kuwaepusha wahitaji na gharama zisizo za lazima.Watakaowajibika kuomba ni waombaji wapya tu
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app