Curtis the Second
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 245
- 216
vip nasikia dom viwanja vimepanda bei dakika chache baada ya tamkohivi hizi wizara miaka yote zimeshindwa kuwa na visurb wizara mikoani leo ndiyo zinaleta mbwembwe za kuhamia Dodoma?
una manufaa gani kwangu wizara kuhamia huko?
ilhali bado nitasafiri kutoka Nanjilinji kuifuata wizara,
kikubwa muweke na ofisi za kanda tusaidiwe shida zetu huko.
mpk sasa watumishi hawajaanzwa kulipwa mishahara mipya! sasa...najiuliza pesa za kuhamia Dodoma zimepatikana wapi?wakati huku watumishi hawajapata promosheni na mishahara mipyaaSEMA WEWE NJIWA ..WENGINE MABUNDI TUKISEMA TUTAAMBIWA TUNALETA UCHUROOO.......
INGEKUWA NI RAHISI KIVILE KUHAMIA DODOMA HATA NYERERE ANGELIISHA HAMIA ZAMANI SANA...ILA ALIPOKUWA AKIPIMA VIPAUMBELE ANAONA KUHAMIA DODOMA SIO LAZIMA NA MUHIMU KULIKO KUSOMESHA WATANZANIA NJE YA NCHI NA KULETA UJUZI NDANI KWETU KWA MAENDELEO YA TAIFA. AU SIO MUHIMU KULIKO KUWEKA MASHINE ZA CT SCAN NA MRI KWENYE KILA HOSPITAL YA WILAYA ILIYOPO TANZANIA.
HAPA HOJA YANGU IWE NI SIO KUHAMIA DODOMA...JE WAKATI TUNAHAMIA DODOMA MAHITAJI MAKUBWA NA YA MUHIMU KWA TAIFA YAMEKWISHA TEKELEZWA?
Huko tuendako ni kubaya...
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma [emoji12] [emoji12] [emoji12].
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Kaaazi kweli kwelimkuu huoni kama kuhamia ddoma kuna faida positive nyingi zaidi?...kwa mtazamo wangu hili nalo ni jukumu lililosubiri utekelezaji kwa muda mrefu sana,...hivyo huo sio uamuzi wa kukkrupuka,hofu ipo na wana-dsm wasio na plan B,C,n.k........kwa amuzi hili mh.Pombe hajabadili gia angani....its habit to hate things you cant counquer,...
Sasa wanadarisalama wataathirika vp hapa?mkuu huoni kama kuhamia ddoma kuna faida positive nyingi zaidi?...kwa mtazamo wangu hili nalo ni jukumu lililosubiri utekelezaji kwa muda mrefu sana,...hivyo huo sio uamuzi wa kukkrupuka,hofu ipo na wana-dsm wasio na plan B,C,n.k........kwa amuzi hili mh.Pombe hajabadili gia angani....its habit to hate things you cant counquer,...
aisee!..anyway...sehemu kubwa ya wakazi wa dsm inategemea biashara,uwepo wa makao makuu ya serikali mahali pale una umuhimu mkubwa katika mzunguko wa fedha(rem.humo ndimo walipojishikiza most DSMnians)...any need of more explanations?..i think nah!..Sasa wanadarisalama wataathirika vp hapa?
Hapana naona kutakuwa na nafuuaisee!..anyway...sehemu kubwa ya wakazi wa dsm inategemea biashara,uwepo wa makao makuu ya serikali mahali pale una umuhimu mkubwa katika mzunguko wa fedha(rem.humo ndimo walipojishikiza most DSMnians)...any need of more explanations?..i think nah!..
sawa,ni mtazamo,..tafadhali ning'amue kifikra mkuu.Hapana naona kutakuwa na nafuu
Haya ngoja niangalie mazingira Kwanzasawa,ni mtazamo,..tafadhali ning'amue kifikra mkuu.
muhimu!...poa mkuuHaya ngoja niangalie mazingira Kwanza
Suala la kuhamia dodoma alijawai simama kila awamu ya urais imeliendeleza kwa namna moja au nyingine ofisi nyingi zimeishajengwa huko plus makazi ya viongozi wote yapoNachoona mimi hapa , tunahamisha matatizo sugu ya Dar na kuyapeleka Dodoma.Hakuna maandalizi makubwa hasa ya upande wa Infrastructure ya mji kwanza.Pili kuna vision ya future huko say miaka mia mbele kwa kuangalia unavyopanga mji na reserves za future expansion za barabara , reli mijini ,makazi n.k.Suala la kuhamia DOM lilisimama kitambo tu na sidhani ni busara kwa kitu kilicho dormant mnakurupuka na kwenda na spidi ya jet
Ingekuwa ni hoja yenye mashiko na faida kwa nchi ingeshafanyiwa kazi siku nyingi mno...lakini kwasasa ni kutaka kutafuta sifa bila kuangalia madhara yake kiuchumi kijamii na kitaifaSuala la kuhamia dodoma alijawai simama kila awamu ya urais imeliendeleza kwa namna moja au nyingine ofisi nyingi zimeishajengwa huko plus makazi ya viongozi wote yapo