Serikali imekopa mishahara ya July 2014?

Serikali imekopa mishahara ya July 2014?

Mawenzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,251
Reaction score
347
Ili kuweza kulipa mishahara ya July, serkali imebidi ikope NMB. Wafanyakazi wengi mpaka leo hii bado kulipwa. Je ni dalili kuwa imefilisika? Mwigulu funguka!
 
inaonekana hampigi kura!! hivi IDD ilikuwa lini? maana tangu tunaikosakosa idd, tayari tushapewa vyetu. na tulishuhudia foleni never happened b4.

kama hujapata jichunguze mwenyewe kama ni mfanyakazi maana wanaendelea na data cleaning. cheti kimoja hakitolipa watumishi wawili. mmoja atapata mwingine atakosa.
 
Mimi niliupata tangu tarehe 23 july tena mkubwaaaa sikutegemea nyongeza niliopata.


Duuuu naipongeza serikali ya jk
 
Ili kuweza kulipa mishahara ya July, serkali imebidi ikope NMB. Wafanyakazi wengi mpaka leo hii bado kulipwa. Je ni dalili kuwa imefilisika? Mwigulu funguka!


Poa tu zikutane na za mwezi ujao.
 
Back
Top Bottom