Mkuu serikali inaendeshwa kwa Bajeti iliyopitishwa na Bunge na mabadiliko yoyote ya Bajeti lazima Bunge litaarifiwe.Bajeti ni mapato na matumizi ya Serikali hivyo hakuna shughuli inayofanyika bila kuwa ktk mpango ulioidhinishwa ktk bajeti!unajua implication ya kukopa nje ya mpango wa bajeti? Ukitoa mgogoro wa kisheria gharama za bajeti kuongezeka (kupitia loan interest charges na unajua average interest rate za mikopo hapa Tz kwasasa!) kuongezeka gharama ktk bajeti kunaivuruga bajeti na kuathiri shughuli zingine zilizokwisha pangwa! Hapo kumbuka sijataja inflation rate fluctuation(now more than 20%!) ambayo ni one of the biggest factor which affect approved budget.jumlisha hayo uone nini kitatokea!What's the big deal? Kukopa ni dhambi? Hata USA wanakopa CHINA
What's the big deal? Kukopa ni dhambi? Hata USA wanakopa CHINA
mkuu serikali inautaratibu wa kukopa through either ministry of finance or BOT.
Either long term loan or T- Bills or Bonds.
Sasa ili la almashauri kukopa, limekaa nje ya utaratibu wa ki serikali.
mkuu serikali inautaratibu wa kukopa through either ministry of finance or BOT.
Either long term loan or T- Bills or Bonds.
Sasa ili la almashauri kukopa, limekaa nje ya utaratibu wa ki serikali.