kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
Nadhani watu hutukuelewana serikali iliposema inataka kujenga Tanzania ya viwanda.
Haikumaanisha kuwa yenyewe itajenga viwanda, lahasha!!!. Serikali ilimaanisha Itahimiza wananchi na wawekezaji wavijenge baada ya serikali kuweka mazingira mazuri kama vile upatikanaji wa umeme wa kutosha, Maji, usafiri, sera, na amani na utulivu nchini.
Naona watu wameshaanza kuhoji mbona hawaoni kiwanda kilichojengwa na serikali mapaka sasa.
Haikumaanisha kuwa yenyewe itajenga viwanda, lahasha!!!. Serikali ilimaanisha Itahimiza wananchi na wawekezaji wavijenge baada ya serikali kuweka mazingira mazuri kama vile upatikanaji wa umeme wa kutosha, Maji, usafiri, sera, na amani na utulivu nchini.
Naona watu wameshaanza kuhoji mbona hawaoni kiwanda kilichojengwa na serikali mapaka sasa.