Mkuu,Sawa sawa tuendelee kutumia hivyo vitabu vya fiction maana si tunataka kua na jamii kubwa ya walimu wa arts huko mbeleni(application za kazi za ualimu mwaka huu ni 90,000 walioitwa kazini 4,000).
Tuendeleze ile elimu yetu ya hapa na pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana hakuna % yeyote wanayotoaNi kwa kuwa wageni wanatoa 10%
Umesahau DTBKuna hizo bank 2, Bank of India na Baroda hatari sana kwa kupeleka pesa nje ya nchi