Ramadhan Rajabu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 578
- 1,105
Wauaji wakubwa chini ya mtu pori tuseme hapana
Ilikuwa bado inasoma upepo suala zima litaendaje, sasa wameona linakoelekea siko na hasa ikishafahamika hata huko duniani kuwa haijachangia chochote kwenye matibabu, dhairi inakuwa imejishitaki yenyewe kwamba ndio imehusika na tukio hilo.ilikua wapi siku zote
Umewaza kama mim asijekuwa mbinu ya kupigwa formasaline ohooowasikubali jomoni
hii serikali si ya kuiamini hata kidogo