Serikali ijifunze kwa hali ya Uchumi - Venezuela

Sasa bado hujawa muwazi MKUU ishu nimfumo mbaya ama ishu nimashinikizo waliyokumbana nayo ndio yamewafanya kua nahali mbaya kama waliokua nayo ?!

Sitaki sana tuijadili serikali ama tumjadili Rais nasera zake

Ishu nikwamba VENEZUELA imekua hapa ilipo ikipitia magumu kutokana na Mfumo mbaya ama kutokana namashinikizo ya Wamagharibi ?!...
Mkuu unafikiri nini kilichopelekea ugomvi wa Nchi za magharibi na serikali ya Venezuela.
 
Kuwasomesha namba watu hizi ni falsafa za kijamaa utumiwa na makomunist kuwafanya watu wawe masikini ili watawaliwe.
 
@Bowie aya yakwanza nayapili yajamaa hapa ndio inaelezea kuhusiana nawanayoyapitia VENEZUELA msiifananisha magumu wanayoyapitia VENEZUELA nanyie MKUU wale jamaa wanaandamwa Nawababe wadunia
Ugomvi wa Venezuela na Nchi za Magharibi ni kutokana na Hayati Hugo Chaves kuamua kutaifisha makampuni ya uchimbaji wa mafuta na kuamua kuendesha nchi hiyo kwa sera ya ujamaa.
Je baada ya miaka ya 80s sera ya ujamaa kufeli unategemea Tanzania tunaweza kurudi kwenye sera hiyo
 
Ugomvi wa Venezuela na Nchi za Magharibi ni kutokana na Hayati Hugo Chaves kuamua kutaifisha makampuni ya uchimbaji wa mafuta na kuamua kuendesha nchi hiyo kwa sera ya ujamaa.
Sasa kwanini unataka kuwaaminisha watu kama wanayoyapitia VENEZUELA namnayoyapitia kwasasa TANZANIA kama unavyodai yanafanana sababu zake ?!
 
Ninamaanisha ikiwa Venezuela na utajiri mkubwa wa mafuta imefilisika kwa Sera mbovu za kiuchumi (socialism) je sisi hapa Tanzania itakuwaje.
Kuhusu Mv Victoria ni kwamba serikali imetangaza itasafirisha mizigo kutoka Mwanza mpaka Bukoba je hao wasafirishaji walipa Kodi watafanya kazi gani.
Ila kiongozi, mbona umefikiria pafupi sana
 
Sasa kwanini unataka kuwaaminisha watu kama wanayoyapitia VENEZUELA namnayoyapitia kwasasa TANZANIA kama unavyodai yanafanana sababu zake ?!
Tunaelekea huko. Nakupa mfano majuzi tumeona yule Bilionea wa Tanzanite mali yake ikinunuliwa na serikali je hiyo ilikuwa sahihi. Kwanini serikali haikufanya mnada wa wazi illi wafanyabiashara kutoka popote washiriki kwenye huo mnada
 
Tunaelekea huko. Nakupa mfano majuzi tumeona yule Bilionea wa Tanzanite mali yake ikinunuliwa na serikali je hiyo ilikuwa sahihi. Kwanini serikali haikufanya mnada wa wazi illi wafanyabiashara kutoka popote washiriki kwenye huo mnada
Bado hapa hakujawa nasababu yakuyafananisha wanayoyapitia VENEZUELA namnayoyapitia TANZANIA leta sababu yakimsingi kwanini ukayalinganisha hayo mataifa katika mapito yao ya scarcity yamafuta

Sababu ya VENEZUELA kukosa nishati yamafuta ipo wazi kwamba ni VIKWAZO je sababu yakwenu huko kukosa mafuta ninini ?!...

Ama nanyie mnavikwazo kama VENEZUELA ?!
 
Venezuela alitaifisha shughuli za mafuta akashindwa kuziendesha kwa faida.
Wapinzani hawakupenda sera zake za kikominist wakamsubiri kwenye sanduku la kura,akatumia mabavu kupata ushindi na kukandamiza vyama vya upinzani.Ndipo Obama na sasa Trump wakamuwekea vikwazo vya kiuchumi.
Nchi ikafirisika wananchi wakakosa mahitaji ya chakula,umeme,mafuta.Wakakimbilia nchi za jirani.
Kama haitoshi Trump akamtambua kiongozi wa wapinzani kama ndio Raisi.
Naye Putin akaleta makamandoo kumlinda bus conductor Raisi Maduro kwa kupewa hazina ya dhahabu.
Raisi Maduro nchi imemshinda ameamua kuwauzia China na Russia,wachote mafuta kwa kadiri ya uwezo wao.Huku wakiachwa wavenezuela kwenye umaskini wa kutupwa.
Uongo Grade1
 
Tunaelekea huko. Nakupa mfano majuzi tumeona yule Bilionea wa Tanzanite mali yake ikinunuliwa na serikali je hiyo ilikuwa sahihi. Kwanini serikali haikufanya mnada wa wazi illi wafanyabiashara kutoka popote washiriki kwenye huo mnada
Thailand na Hong Kong si nchi za kikomunisti...
Serikali ya nchi ya huko iliinunua ile TANZANITE yenye kilo 3.3 na kuiweka makumbusho...
Ya Laizer ni jumla ya kilo 14...serikali iliponunua inaitwa ya kikomunisti yenye uhafidhina!!!!
 
Duh! Sasa Tz na Venezuela vinarelate vipi rafiki? Kwan uchumi wa Tz unategemea oil kama wa Venezuela? Nchi ambayo unaweza kulinganisha na Venezuela Africa ni Angola.Nao uchumi wao umeyumba sababu ya oil price.

Hiyo hoja yako ya pili kuhusu MV.Victoria sijaielewa kabisa!
Endelea kusoma maoni ya watu wengine wenye uelewa, baadaye utaelewa.

Mleta mada ana hoja ya msingi, tena ameiweka wazi. Hajakuambia kuwa uchumi wa Venezuela uliaharibika kwa sababu walikuwa wanazalisha mafuta bali Serikali kuingia kwenye biashara na kufanya ushindani na sekta binafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kusoma maoni ya watu wengine wenye uelewa, baadaye utaelewa.

Mleta mada ana hoja ya msingi, tena ameiweka wazi. Hajakuambia kuwa uchumi wa Venezuela uliaharibika kwa sababu walikuwa wanazalisha mafuta bali Serikali kuingia kwenye biashara na kufanya ushindani na sekta binafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi nikikutajia nchi ambayo serikali na sekta binafsi zote zinaoperate na kuna maendeleo?
 
Thailand na Hong Kong si nchi za kikomunisti...
Serikali ya nchi ya huko iliinunua ile TANZANITE yenye kilo 3.3 na kuiweka makumbusho...
Ya Laizer ni jumla ya kilo 14...serikali iliponunua inaitwa ya kikomunisti yenye uhafidhina!!!!
Mnada wa kuuza hizo Tanzanite ungekuwa wa wazi na serikali ikanunua no problem.
 
Mnada wa kuuza hizo Tanzanite ungekuwa wa wazi na serikali ikanunua no problem.
Kwani hiyo TANZANITE ya waliyoinunua itakuwa NI ya MWISHO kuchimbwa?!!!
Unataka kuniambia kila itakayochimbwa itakuwa inanunuliwa na serikali pasipo mnada wa wazi?
Serikali pia inanunua madini mengineyo "kikomunisti" eee pasina hadhara ya mnada?
 
Back
Top Bottom