Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 2,768
- 1,665
Je biashara kati ya tz na drc Kwa Sasa Ina thamani ya tshs ngapi?
Kuna mikopo ya Hadi miaka 20,30 nk ,na mda huo biashara kipande hiyo itakuwa imefunguka so gharama zitalipwa.
Mwisho uchumi haujasimama unakua kadiri mda unavyoenda.