Serikali Ijenge Daraja Kuunganisha Tanzania na DRC Kupitia Ziwa Tanganyika (Karema-Moba Au Lagosa-Kalemie)

Suspension bridge huwa kuna nguzo kila baada ya umbali fulani. Sasa imagine nguzo ikae kwenye kina cha 1,340m hiyo ni kilomita moja kwenda chini. Na urefu wa daraja useme ni km 3 sasa utakua na nguzo ngapi? yani nguzo tu urefu wake unaweza kuwa jumla ya km 20 kwenda chiniView attachment 2973553
Huyu jamaa anachukulia mambo kirahisi.Kwa urefu uliopo kuvuka ziwa kutoka kigoma hadi Congo ni zaidi ya 30km, hapo hata ukijenga suspension bridge zinahitajika pillars (piers) zaidi ya 30 kwa average span ya 1km.
Kutoka chini ya maji hadi juu ni zaidi ya 1km,kutoka juu ya maji pillar moja inabidi iwe na urefu wa zaidi ya 200m.Kufikia hapo pillar moja inakuwa ndefu kuliko Burj Khalifa na kumbuka zinahitajika zaidi ya 30.
Daraja lenye pillar ndefu chini ya maji lipo Bangladesh na urefu wa pillars zake ni 127m tu,ambayo ni 1/10 ya kina cha ziwa Tanganyika.
Tunnel system is a way to go.
 
Suspension bridge kama madaraja mengine makubwa yanayokatisha Ziwa mfano Magufuli

Suspension bridge haina maana kwamba hakuna support zinazogusa kwenye kitako cha ziwa au bahari...

Kinachoning'inia ni daraj, na linaning'inia kutokea kwenye nguzo ambazo ndio muhimili wa daraja...

Kwa urefu wa kina cha Ziwa Tanganyika huenda ikawa changamoto kufanya huu mradi...
 
Wewe punguza ujinga,nimekujibu Toka awali kwamba lengo ni kufungua hinterland Cities za DRC.

Nimekwambia hiyo Miji ni midogo Kwa sababu Haina miundombinu ya kufikia Miji mikubwa ya ndani ya DRC.

Kazi ya miundombinu ni kufungua fursa,Barabara , Bandari na reli zikoje gwa uchumi utafunguka,hakuna sababu za kuzungukia Lubumbashi na Tunduma wakati unaweza Kupita Central corridor na ukafikia Pwani.
Kwahyo umekubali huko MOBA hakuna miundombinu wao DRC Wameshinda kuunganisha miji Yao Unataka daraja la trillion 40 alafu ukifika kalemie unakutana na Kijiji huoni km umetumiwa pesa za walipa Kodi vbaya
 
Huyu jamaa anachukulia mambo kirahisi.Kwa urefu uliopo kuvuka ziwa kutoka kigoma hadi Congo ni zaidi ya 30km, hapo hata ukijenga suspension bridge zinahitajika pillars (piers) zaidi ya 30 kwa average span ya 1km.
Kutoka chini ya maji hadi juu ni zaidi ya 1km,kutoka juu ya maji pillar moja inabidi iwe na urefu wa zaidi ya 200m.Kufikia hapo pillar moja inakuwa ndefu kuliko Burj Khalifa na kumbuka zinahitajika zaidi ya 30.
Daraja lenye pillar ndefu chini ya maji lipo Bangladesh na urefu wa pillars zake ni 127m tu,ambayo ni 1/10 ya kina cha ziwa Tanganyika.
Tunnel system is a way to go.
Wapi nimesema tunajenga Kigoma to DRC?

Inawezekana kwani kuna shida gani? Kwani kina ni Kimoja eneo lote la Ziwa?

Mwisho eneo niliyo suggest ni chini ya km 30. Ukisema ni mbali waliojenga kwenye bahari umbali wa km zaidi ya 40 wao kina Chao kilikuwa kiufupi au?

Kama Burj Khalifa au Jeddar tower inapanda hewani Kwa zaidi ya km 1 inashindikana vipi kwenye Ziwa?
 
Wapi nimesema tunajenga Kigoma to DRC?

Inawezekana kwani kuna shida gani? Kwani kina ni Kimoja eneo lote la Ziwa?

Mwisho eneo niliyo suggest ni chini ya km 30. Ukisema ni mbali waliojenga kwenye bahari umbali wa km zaidi ya 40 wao kina Chao kilikuwa kiufupi au?

Kama Burj Khalifa au Jeddar tower inapanda hewani Kwa zaidi ya km 1 inashindikana vipi kwenye Ziwa?
w
 
Dar bila kulazimika kukatiza Nchi nyingine mfano Zambia ambao Huwa wanasumbua sana.
Lubumbashi ndio mji muhimu kibiashara Congo

HESABU ZA KM
●DAR-LUBUMBASHI KUPITIA ZAMBIA
Km 1845

●DAR-KIGOMA-KAREMA-LUBUMBASHI
Dar-Kigoma km 1250
Kigoma-Kalema km 30 kupitia ziwani
Karema-Lubumbashi km 1320
Jumla km 2600

Hapo ni route ipi yenye tija katika biashara ya usafirishaji wa bidhaa?
 
Wewe ni MPUMBAVU, kwani Kigoma ipo nchi gani?
Halafu mwanaume unaanzaje kutumia neno "mfyoo" kama sio ushoga?
Na we umejuaje mambo ya ushoga maanake na we shoga.
Najalibu kukuelewesha kigoma na congo hazi match Wee Mr's.
 
Waache kwanza tupige pesa. Tukusanye Dollars Maana kwenye Mazingira magumu Ndiko kwenye pesa. Acha wafuge Vitambi tu. Yaani wazungu na South Africa Wanaitamani Congo halafu Sisi Tunaitenga. Eti SGR iende Rwanda ha ha Watanzania kweli wapumbavu. Wakati Hao Rwanda nao si lolotte bila Congo. Tinashindwa kuifikia Congo direct mpaka suite kwa Watusi. Nawaza kana Kenya ingekua karibu na Congo kwanza hâta vita ya M23 I ingeisha. Yaani Ziwa Tanganyika Haina hâta Meli ya uchukizi hâta moja. Yaani mnaacha Dollars za kumwaga pale Congo mnaanza kuhangaika na kuwauzia wazungu ili mpate Dollar wakati Kuna Dollar za burebure hapo tu, au mpaka mpande Ndège? Congo wabatumia Dollar mpaka kununua mboga Toka Tanzania yaani kuanzia nyanya , vitunguu mpaka Chumvi vinatoka TZ na wanalipa USD alafu mnahangaika na masharti ya wazungu.
 
Kwa hicho kina hakuna wa kujenga hilo daraja, hata kama litajengwa matumizi ni GDP yote ya TZ
Kwanza hizo sehemu za upande wa kongo ni kama zimesuswa na nchi ya kongo, hazina huduma yoyote ya maana, kutoka hizo sehemu hadi Kinshasa ni siku 4 njiani
 
Back
Top Bottom