Serikali ifuatilie hii michezo ya kamari

Serikali ifuatilie hii michezo ya kamari

Nkonzi JR

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
324
Reaction score
195
Tanzania vijana wote tunaomba tuungane na tushilikiane kuiomba serikali yetu tukufu kufatilia kwa umakini na kwa hali ya kujiridhisha na hizi betting nchini
Watu wanaibiwa sana na ni utapeli tuungane tupinge hili
 
fanya yako betting ni biashara kama zilivyo biashara zingine,watu wanalipa kodi maana yake ni biashara iliyohalilishwa sasa ww unasema wapige marufuki.hutaki serikali ipate mapato au?
 
Hajalazimishwa mtu….. Ningekuunga mkono kama ungehamasisha watz kutumia mitandao kwa kwa faida na sio kuchat na tu
 
mjinga asiyejielewa ndiye analiwa..... mkuu hii bashara ni world wide, wamiliki wa hizi biashara wapo kisheria na kodi wanalipa, tena wanalipa kodi kubwa sana.

wenzetu walioendelea mtu ana bet huku akiwa ana offic yake au shughuli zake nyingine zinazomwingizia kipato, sasa kibongo bongo unamkuta kijana anashinda majumba ya betting anasubiri mechi iishe ili aangalie kama mkeka unasoma achukue chake, au unakuta mtu anabet live ile michezo ya namba...cjui inaitwaje. imefika sehemu mtu anategemea betting kama ndio kipato chake, waathirika wakubwa ni sisi vijana.

sioni kama serikali inakosea kuwapa vibali hawa wawekezaji, wajinga ni hao wanashikwa masikio na kubet 24/7. pia kuna zile mashine za kichina (dubwi) ambazo ni kamari unadumbukiza mia mbili, zimesheheni sana, wajinga ndio waliwao.
 
huyu atakuwa ametumwa aje ajaribishie mitambo....watu tunaishi kwa kubet leo uweke uzibe tuishi vp sasa ?!!..kama huwa hubet temana na sisi hatujawahi kukuomba hata mia
 
fanya yako betting ni biashara kama zilivyo biashara zingine,watu wanalipa kodi maana yake ni biashara iliyohalilishwa sasa ww unasema wapige marufuki.hutaki serikali ipate mapato au?

Ni jukumu la Serikali kulinda wananchi wake dhidi ya matapeli Wa beti
 
Kila mmoja wetu ana bashiri kwa njia anayeijua yeye .. Hata mtoa mada amebashiri huku akijua fika kuwa mada yake inaweza kueleweka au asieleweka na hao aliowashauri.. Vivyo hivyo kwenye sport betting una bet huku ukijua kuna faida na hasara zake pia ..

MUHIMU: Fanya kile kitu roho yako inakutuma na usipende kufuata mkumbo kwa jambo lolote lile usilolijua kiundani..

SHERIA: Bet what you can afford to loose.
 
huyu atakuwa ametumwa aje ajaribishie mitambo....watu tunaishi kwa kubet leo uweke uzibe tuishi vp sasa ?!!..kama huwa hubet temana na sisi hatujawahi kukuomba hata mia
Nifundishe kubet
 
Watu watabeti weeee! mwisho wa siku watachoka baada ya kuona hawana mafanikio yoyote, hapa sasa yatagawanyika makundi wapo watakaolia na serikali wakisema serikali mbaya, wapo watakao ingia info katika ujamabazi kwa hasira za maisha, wapo watakaona maisha ni nuksi tu! na kuamua kulewa chakali, wapo watakaoamua kama mbwai mbwai lolote na liwe na wengine wataamua bora kwenda somalia na wapo watakaoamua kujiua na wapo watakaoamua kutulia tuli wakisubilia kudra za Mungu. Kamali haimwachagi mtu salama.
 
fanya yako betting ni biashara kama zilivyo biashara zingine,watu wanalipa kodi maana yake ni biashara iliyohalilishwa sasa ww unasema wapige marufuki.hutaki serikali ipate mapato au?
Usiwaze mapato tyuu Hata bangi inaweza kuwa biashara halali na serikali wakapata mapato,tunaona ni jinsi gani inaleta matokeo hasi ya nchi yetu,tumia akili kuchangia hoja usitumie matako
 
BASKETBALL BETTING NI HATARI SANA ODDS ZA MAANA,ACHA TUENDELEE KUPIGA PESA
 
Tanzania vijana wote tunaomba tuungane na tushilikiane kuiomba serikali yetu tukufu kufatilia kwa umakini na kwa hari ya kujilidhisha na hizi betting nchini
Watu wanaibiwa sana na ni utaperi tuungne tupinge hili
Sio bure utakua ushachezea vitasa vya kutosha unakuja lia lia apa kwan ubet kwa tamaa una weka 500 unataka lak1 does it make sense?

Tia laki pata laki 2
Mwendo wa odds 2 utaona matunda yake!!

So hata sirkali iki fungia kampun za bongo still kuna world wide Coy eg 365 williamhill et al tuta hamia uko!!
 
I wanna know umenipa nn betting
Dear betting umeyafanya maisha yangu yayumbe,
Naiba chapa mwenzio ili nije nikucheze lakin unanichana,
Juzi nimeapa sikuchez tena nashangaa leo nimekucheza na nimechanika,
Sijui umenipa nn dear betting!!!
Jana nilitaka nikanunue shati lakin nikasema subir kwanza nibet ili nikanunue mashati mengi hatimae hata hilo moja sijaenda kununua,nasema siwez kukuacha kwani "RAHA YA MKEKA NI KUCHANIKA"
 
Tanzania vijana wote tunaomba tuungane na tushilikiane kuiomba serikali yetu tukufu kufatilia kwa umakini na kwa hari ya kujilidhisha na hizi betting nchini
Watu wanaibiwa sana na ni utaperi tuungne tupinge hili
Mwenye akili hawezi lalama ikiwa mjinga tu aliwae
 
mtoa mada acha wivu wa kike...betting kazi kama kazi mazeee...kuzuia betting ni sawa na kuzuia mafuriko kwa makalio
 
mkuu yaani wataka betting zifungiwe ..daahh mbona kama unaota umeshaona hayo makato ya kodi wanayokata serikali. ..so wadhani serikali itakuwa Tayari kuachana na mpunga unaoingia kisha waamuru ikatazwe..SIKATAI Inachangia anguko LA vijana kiuchumi

lakini hayo ndio madhara ya ukosefu wa ajira nchini ..unadhani kama watu wapo wapo tu hawana ajira ..nikipi ambacho kitafuata ..najua utakuja hapa nakuniambia kuwa waende wakalime lakini hcho kilimo nacho cha hitaji capital.
kama hawana itaendelea kuwa simulizi tu
 
Back
Top Bottom