Kwa kuwa wapinzani wengi hasa CHADEMA wanashauri maendeleo si ya vitu ila yanatakiwa yawe ya watu, napendekeza serikali ifute ruzuku kwa vyama vya siasa ili pesa yote inayotolewa kwa ajili ya ruzuku itumike katika maendeleo ya watu vijijini, tofauti na ilivyo sasa pesa za ruzuku zinatumika kununulia vitu kama magari ambapo ni tofauti na msimamo wa wana CHADEMA walio wengi.
Kwa mfano ruzuku ya CHADEMA ni kama bilioni tatu kwa mwaka pesa hizi zisitolewe tena kama ruzuku kwa CHADEMA ila zipelekwe vijijini zikalete maendeleo kama wao wanavyoshauri pia kwa vyama vyote vinavyopata ruzuku iwe hivyohivyo.
Kwa mfano ruzuku ya CHADEMA ni kama bilioni tatu kwa mwaka pesa hizi zisitolewe tena kama ruzuku kwa CHADEMA ila zipelekwe vijijini zikalete maendeleo kama wao wanavyoshauri pia kwa vyama vyote vinavyopata ruzuku iwe hivyohivyo.