Serikali ifatilie utekelezaji wa sheria zetu za ukatili dhidi ya wanyama, wanateswa sana

Ricky Blair

JF-Expert Member
Mar 13, 2023
391
873
Ifike muda serikali ianze ku enforce sheria zetu za ukatili dhidi ya wanyama jamani.

Hawa punda wanaonewa sana na wanakuwa abused mpaka too much yaani.

Kwanza wadogo na wanabebeshwa mizigo utadhani wana uzito wa tembo, wanapigwa, wanafungwa kamba kwa mvua inawanyeshewa, yaani hata ng'ombe wa maasai na wasukuma hawawanyanyasi hivi maybe kwa sababu ng'ombe hawawezi beba mizigo ivi ila hawa wanaonewa sana hadi huruma.

Jaman sisi tuna sheria kali dhidi ya wanyama hata kwa wale wanaoliwa hawatakiwi kuuliwa kikatili, bali kiistaarabu. Ipo siku na hawa punda wataanzisha migomo.

IMG_9274.jpeg
 
Kwa mara ya kwanza nwona punda kabeba mzigo nililia!! Wale waswaga punda akili kijiko kabisaaa!! Yaaani punda ana vidonda rundo vinatoa usaha wao ndo wanaweka mzigo na viboko vya kutosha!!! Wanapigwa hatari na balaaa
 
Ifike muda serikali ianze ku enforce sheria zetu za ukatili dhidi ya wanyama jamani.

Hawa punda wanaonewa sana na wanakuwa abused mpaka too much yaani.

Kwanza wadogo na wanabebeshwa mizigo utadhani wana uzito wa tembo, wanapigwa, wanafungwa kamba kwa mvua inawanyeshewa, yaani hata ng'ombe wa maasai na wasukuma hawawanyanyasi hivi maybe kwa sababu ng'ombe hawawezi beba mizigo ivi ila hawa wanaonewa sana hadi huruma.

Jaman sisi tuna sheria kali dhidi ya wanyama hata kwa wale wanaoliwa hawatakiwi kuuliwa kikatili, bali kiistaarabu. Ipo siku na hawa punda wataanzisha migomo.

View attachment 2879577
Kuna sehemu dar wanauzaga mishikaki mizur mikubwa kubwa Sasa wakati naitafuna Huwa najiuliza hii nyama ni ya mnyama gani

Mdau wangu kumpeleka akasema ila nyama sio ya ng'ombe akasema may be pundaa...

😅😅😊😊
 
Kuna watu nusura niwafikishe polisi kwa kubebesha punda mizigo mizito huku punda hao wana majeraha makubwa migongoni mwao. Kwa nini hawaweki sponji migongoni mwao kama farasi na ngamia wanavyowekewa ili wasichibuke ngozi? Sheria ni butu ya kuwalinda wanyama wa nyumbani ni kama haifanyi kazi. Wanyamapori wanalindwa kwa udi na uvumba hakuna raia wa kuwagusa atapambana na askari wa wanyamapori, ila hawa domestic animals hawana mtetezi wa maisha yao
 
Kuna watu nusura niwafikishe polisi kwa kubebesha punda mizigo mizito huku punda hao wana majeraha makubwa migongoni mwao. Kwa nini hawaweki sponji migongoni mwao kama farasi na ngamia wanavyowekewa ili wasichibuke ngozi? Sheria ni butu ya kuwalinda wanyama wa nyumbani ni kama haifanyi kazi. Wanyamapori wanalindwa kwa udi na uvumba hakuna raia wa kuwagusa atapambana na askari wa wanyamapori, ila hawa domestic animals hawana mtetezi wa maisha yao
Hakika mkuu
 
Ifike muda serikali ianze ku enforce sheria zetu za ukatili dhidi ya wanyama jamani.

Hawa punda wanaonewa sana na wanakuwa abused mpaka too much yaani.

Kwanza wadogo na wanabebeshwa mizigo utadhani wana uzito wa tembo, wanapigwa, wanafungwa kamba kwa mvua inawanyeshewa, yaani hata ng'ombe wa maasai na wasukuma hawawanyanyasi hivi maybe kwa sababu ng'ombe hawawezi beba mizigo ivi ila hawa wanaonewa sana hadi huruma.

Jaman sisi tuna sheria kali dhidi ya wanyama hata kwa wale wanaoliwa hawatakiwi kuuliwa kikatili, bali kiistaarabu. Ipo siku na hawa punda wataanzisha migomo.

View attachment 2879577
Hao hao wanyama usipowafanyia hivyo wanaugua..
Farasi usipomtembeza au hawa mbwa wa kidhungu wanaugua
 
Back
Top Bottom