Ndugu wadau, kwa watumiaji wa NMB mobile ni majanga matupu. Mathalani unapoulizia salio lako, unapolipia luku,au unaponunua muda wa maongezi, unapothibitisha kwa kuingiza '0' basi unaletewa kitu kimeandikwa EXTERNAL APPLICATION DOWN. Maana yake ni kuwa zoezi limeshindikana lakini hela yako imekatwa! Hasa sisi watumishi wa serikali tunaomba jamani serikali yetu sikivu ituondoe kwa hawa NMB na CRDB wako tayari kutupokea na hawana wizi kama huu.