Mwaka jana serikali iliidhinisha katika bunge la budget fedha za wizara ya elimu haswa mpaka ile ya mafunzo kwa vitendo kwa walimu wa diploma.Wonderful enough mpaka leo walimu sisi,kwa mujibu wa btp iliyoanza tarehe 03 mwezi huu wa tatu tumepewa hela za siku kumi tu badala ya 46 na zilizobaki till this time ni Mawenge!shame on this Poor leading government.