Serikali hii ikitoka madarakani,vyama vya wafanyakazi vitakuja kufungua kesi kudai nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma ambayo sasa haitolewi

True hata mkoloni aliyatumia kwenye kazi za nguvu sio za kutumia akili wengi walipelekwa tanga kulima mkonge na wengine makuli bandarini.Kazi za kutumia akili huwa wanachemka sana VIATU vinapwaya.

Ubaguzi mnautaka sana
 
Yaani sio wafanyakazi tu, kuna msulululu wa watakaodai na kulipwa waliovunjiwa nyumba zao, waliofukuzwa kazi kwa dhuluma a.k.a.tumbuliwa, waliochukuliwa fedha zao maduka ya kubadilisha fedha, vyeti feki, wafanyabiashara walionyang'anywa mashamba, wanaoporwa fedha zao benki, wakandarasi, wakulima wa tumbaku, Korosho, pamba, mbaazi, waliobambikwa kesi mbalimbali wote watalipwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…