Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,656
- Mmeteka watu
- Mnatesa na kulawiti Watanzania wenzenu
- Mnaua Watanzania kupitia Wambura na magaidi wenzake
- Mmechezea sheria inayounda Usalama wa Taifa na kuifanya taasisi inayodhibiti wananchi badala ya jukumu lake la kisheria na kikatiba
- Mmeunda Tume haramu ya uchaguzi
- Mmeharibu mfumohaki wote
- Mmeua demokrasia na kuharibu uchaguzi
- Oktoba 29+ mmefanya mauaji ya halaiki na kuharibu miili ya wahanga
- Mmejiapisha jeshini
- Mmegeuza vyombo vya ulinzi na usalama kuwa KILLING MACHINERY
- Mmeteuana koo zenu kila nafasi za juu za utawala
- Na kadhalika...
Viongozi Ninyi ni haramu kuendelea kutawala Tanzania.
Desemba 19 tuna jambo letu