Wakuu
Serikali yetu sikivu tunawaomba mwaka huu mturuhusu tukauze kahawa Uganda kwenye bei kubwa kuliko mnavolazimisha tuwauzie ninyi kwa bei ndogo.
Au muwaruhusu wafanyabiashara wa Uganda waingie kununua Tanzania na msiwape masharti magumu hapo mtakua mmetusaidia wakulima kuinuka kiuchumi,
Serikali yetu sikivu tunawaomba mwaka huu mturuhusu tukauze kahawa Uganda kwenye bei kubwa kuliko mnavolazimisha tuwauzie ninyi kwa bei ndogo.
Au muwaruhusu wafanyabiashara wa Uganda waingie kununua Tanzania na msiwape masharti magumu hapo mtakua mmetusaidia wakulima kuinuka kiuchumi,