mkutano wa hazara uliofanyika jana kata ya magomeni Kilosa ulizihirisha kuwa serikali ya CCM isivyo wajari watz baada ya mkuu wa wilaya kuwapa ushilikiano wahujum uchumi walio vunja miundombinu ya viwanda ,kuwatumikisha watz bila kuwalipa stahiki zao, leo wajakupola ardhi kimabavu