MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,006
- 2,165
Ninauliza kuhusu uongozi ktk Universities zetu. Taarifa niliyopata ni kwamba sasa hivi vyuo vikuu vitatu vya serikali yaani, chuo kikuu cha Dodoma (UDOM), Chuo kikuu Dar (UD) pamoja Mzumbe, vyote vinaongozwa na wastaafu.
Viongozi wa vyuo hivi wamemaliza muda wao wa uongozi au wameshastaafu kwa mjibu wa sheria lakini wameruhusiwa na serikali kuendelea kuongoza taasisi hizi.
Inavyoelekea sasa kila mkuu wa chuo na hata taasisi za serikali anajaribu kungangania kwenye nafasi. Kwa upande wa Universities naona ni kama aibu kwa sababu wanavyuo ndo wamekuwa mstari wa mbele ktk kuwataka wanasiasa kuheshimu katiba za nchizao. Imekuwaje viongozi wa vyuo hivi hawataki kuheshimu taratibu za kisheria ktk vyuo hivyo?
Alianza huyu wa hapa UD ikasemekana ni mwana-kijiwe wa mkuu wa nchi na sasa wamefuata wegine. Inakuwaje urafiki wa kisiasa unavunja sheria za nchi? Wasomi wa vyuo munawezaje kuruhusu hali kama hiyo wakati munafahamu fika kwamba watu kama hao hawataleta jambo lolote la maana ktk ustawi wa vyuo vyenu? Nani kati yao ana malengo mazuri kwa maendeleo yenu?
Ni kweli hakuna anayefaa zaidi ya hao muliopewa kwa mkataba?
Viongozi wa vyuo hivi wamemaliza muda wao wa uongozi au wameshastaafu kwa mjibu wa sheria lakini wameruhusiwa na serikali kuendelea kuongoza taasisi hizi.
Inavyoelekea sasa kila mkuu wa chuo na hata taasisi za serikali anajaribu kungangania kwenye nafasi. Kwa upande wa Universities naona ni kama aibu kwa sababu wanavyuo ndo wamekuwa mstari wa mbele ktk kuwataka wanasiasa kuheshimu katiba za nchizao. Imekuwaje viongozi wa vyuo hivi hawataki kuheshimu taratibu za kisheria ktk vyuo hivyo?
Alianza huyu wa hapa UD ikasemekana ni mwana-kijiwe wa mkuu wa nchi na sasa wamefuata wegine. Inakuwaje urafiki wa kisiasa unavunja sheria za nchi? Wasomi wa vyuo munawezaje kuruhusu hali kama hiyo wakati munafahamu fika kwamba watu kama hao hawataleta jambo lolote la maana ktk ustawi wa vyuo vyenu? Nani kati yao ana malengo mazuri kwa maendeleo yenu?
Ni kweli hakuna anayefaa zaidi ya hao muliopewa kwa mkataba?