Nimesema hivyo nikiwa na maana yangu. Lissu sio mhaini bali wananchi ndio wahaini. Wao ndio walikinukisha na sio lissu au chadema. Serikali ipambane na wananchi yaan iwakamate woote nchi nzima iwaweke selo na kuwafungulia mashtaka na sio lissu. Jamaa wasimuonee bure. Cha kwanza yeye alikuwa ndani tukakinukisha sisi. Acha nijikonyaginize kwanza afu nije kuandka upya coz hapa sijaelewa nilichokiandka. AU MNAONAJE WADAU SIJAANDIKA VIZURI