Serbia yatupilia mbali vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia: Rais wa Serbia aingia mkataba 'mnono' wa gesi na Putin

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Dec 27, 2019
2,920
15,610
Serbia ni mojawapo ya nchi za Ulaya na ambayo ilifanya maombi ya kujiunga na Umoja wa Ulaya mwaka 2009. Majadiliano yake na EU kuhusu kukubaliwa uanachama yanaendelea na inategemewa kupewa uanachama huo mwaka 2025.

Pamoja na hayo yote, Serbia imeamua kupuuzia mbali vikwazo vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya (EU) dhidi ya Russia. Rais wa Serbia bwana Aleksandar Vucic kaitangazia dunia kuwa leo ameingia mkataba mnono mno wa gesi (extremely favourable natural gas deal) na rais Putin kupitia mazungumzo ya simu.

Rais huyo kaoneza kuwa anatarajia kusaini mkataba huo haraka iwezekanavyo, ndani ya siku za mwanzoni za mwezi June unaoanza keshokutwa wakati ambao waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov atafanya ziara nchini Serbia.
=====


SmartSelect_20220529-214442_Chrome.jpg

Screenshot_20220529-214848_Chrome.jpg
Screenshot_20220529-215014_Chrome.jpg
 
Russia yuko against na Ukraine na Germany if not mistaken. Kuna mmoja hapo alianzisha vurugu Serbia hawamtaki. Mwenye ufahamu atapngezea zaidi
 
Serbia ni mojawapo ya nchi za Ulaya na ambayo ilifanya maombi ya kujiunga na Umoja wa Ulaya mwaka 2009. Majadiliano yake na EU kuhusu kukubaliwa uanachama yanaendelea na inategemewa kupewa uanachama huo mwaka 2025.

Pamoja na hayo yote, Serbia imeamua kupuuzia mbali vikwazo vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya (EU) dhidi ya Russia. Rais wa Serbia bwana Aleksandar Vucic kaitangazia dunia kuwa leo ameingia mkataba mnono mno wa gesi (extremely favourable natural gas deal) na rais Putin kupitia mazungumzo ya simu.

Rais huyo kaoneza kuwa anatarajia kusaini mkataba huo haraka iwezekanavyo, ndani ya siku za mwanzoni za mwezi June unaoanza keshokutwa wakati ambao waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov atafanya ziara nchini Serbia.
=====


View attachment 2243889
View attachment 2243886View attachment 2243887
Serbia na uongozi wao wa kidikteta hawawezi kamwe kukubaliwa kuwa wanachama wa EU hata wao wanalijua kabisa ndio maana wameona wasikose vyote(Uanachama wa EU na Gesi ya Urusi). Ni Mwaka wa 13 Sasa tangu nchi hiyo itume maombi LAKINI yalishakataliwa Mara 8. Waliambiwa mpaka watakapofikia vigezo vya Ulaya,lakini wameshindwa ndio maana wameamua Liwalo na Liwe. Hata Uturuki,Tangu mwaka 2001 wanalilia kujiunga EU lakini leo ni Mwaka wa 21 Sasa na hawajaambulia chochote.

Ulaya walijifunza makosa pale walipo ikubalia Hungary kujiunga EU,Yaani wanateseka balaa,make Hungary Demokrasia ambayo ndio kigezo kikuu Cha kujiunga EU imeporomoka sana hasa Chini ya Kiongozi wao VICTOR ORBAN.

Wakati Ujeruman na Italy zinapokea mamilioni ya wakimbizi kutoka Middle East na Afrika,Huyu jamaa wa Serbia alipinga vikali Sera ya kuwakaribisha Wahamiaji hasa Waislam na watu Weusi. Ulaya hawawezi kurudia kosa Hilo kamwe.
 
Serbia na uongozi wao wa kidikteta hawawezi kamwe kukubaliwa kuwa wanachama wa EU hata wao wanalijua kabisa ndio maana wameona wasikose vyote(Uanachama wa EU na Gesi ya Urusi). Ni Mwaka wa 13 Sasa tangu nchi hiyo itume maombi LAKINI yalishakataliwa Mara 8. Waliambiwa mpaka watakapofikia vigezo vya Ulaya,lakini wameshindwa ndio maana wameamua Liwalo na Liwe. Hata Uturuki,Tangu mwaka 2001 wanalilia kujiunga EU lakini leo ni Mwaka wa 21 Sasa na hawajaambulia chochote.

Ulaya walijifunza makosa pale walipo ikubalia Hungary kujiunga EU,Yaani wanateseka balaa,make Hungary Demokrasia ambayo ndio kigezo kikuu Cha kujiunga EU imeporomoka sana hasa Chini ya Kiongozi wao VICTOR ORBAN.

Wakati Ujeruman na Italy zinapokea mamilioni ya wakimbizi kutoka Middle East na Afrika,Huyu jamaa wa Serbia alipinga vikali Sera ya kuwakaribisha Wahamiaji hasa Waislam na watu Weusi. Ulaya hawawezi kurudia kosa Hilo kamwe.
Serbia inauongozi wa kidikteta kweli??Yule kiongozi wao alivyo mlegevu vile udikteta kautoa wapi tena??
 
Serbia inauongozi wa kidikteta kweli??Yule kiongozi wao alivyo mlegevu vile udikteta kautoa wapi tena??
Mfuatilie Victor Orban. Mwaka 2012 aliwapakia Waislam na Wahamiaji Weusi kutoka Afrika na Syria na Afghanistan na Kuwarudisha nchini Libya wakauzwe utumwani. Acha kabisa hiyo nchi,Kamwe kwa mwenendo wake haitakubaliwa kujiunga EU. Ni Kama Uturuki TU,Chini ya Erdogan,Uturuki isahau kuwa Mwanachama wa EU.
 
Serbia ni mojawapo ya nchi za Ulaya na ambayo ilifanya maombi ya kujiunga na Umoja wa Ulaya mwaka 2009. Majadiliano yake na EU kuhusu kukubaliwa uanachama yanaendelea na inategemewa kupewa uanachama huo mwaka 2025.

Pamoja na hayo yote, Serbia imeamua kupuuzia mbali vikwazo vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya (EU) dhidi ya Russia. Rais wa Serbia bwana Aleksandar Vucic kaitangazia dunia kuwa leo ameingia mkataba mnono mno wa gesi (extremely favourable natural gas deal) na rais Putin kupitia mazungumzo ya simu.

Rais huyo kaoneza kuwa anatarajia kusaini mkataba huo haraka iwezekanavyo, ndani ya siku za mwanzoni za mwezi June unaoanza keshokutwa wakati ambao waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov atafanya ziara nchini Serbia.
=====


View attachment 2243889
View attachment 2243886View attachment 2243887

Historia ya Serbia inaeleweka.

Waliwahi kuonja machungu ya NATO iliyowavamia miaka ya nyuma. Pia Serbia bado siyo mwanachama wa EU japo waliomba toka mwaka 2012 kujiunga na EU.

Wananchi wengi wa Serbia ni wa asili ya Urusi na pia wengi wanaikubali sana Urusi na Putin.

Hivyo hili ni suala la historia.
 
Serbia na uongozi wao wa kidikteta hawawezi kamwe kukubaliwa kuwa wanachama wa EU hata wao wanalijua kabisa ndio maana wameona wasikose vyote(Uanachama wa EU na Gesi ya Urusi). Ni Mwaka wa 13 Sasa tangu nchi hiyo itume maombi LAKINI yalishakataliwa Mara 8. Waliambiwa mpaka watakapofikia vigezo vya Ulaya,lakini wameshindwa ndio maana wameamua Liwalo na Liwe. Hata Uturuki,Tangu mwaka 2001 wanalilia kujiunga EU lakini leo ni Mwaka wa 21 Sasa na hawajaambulia chochote.

Ulaya walijifunza makosa pale walipo ikubalia Hungary kujiunga EU,Yaani wanateseka balaa,make Hungary Demokrasia ambayo ndio kigezo kikuu Cha kujiunga EU imeporomoka sana hasa Chini ya Kiongozi wao VICTOR ORBAN.

Wakati Ujeruman na Italy zinapokea mamilioni ya wakimbizi kutoka Middle East na Afrika,Huyu jamaa wa Serbia alipinga vikali Sera ya kuwakaribisha Wahamiaji hasa Waislam na watu Weusi. Ulaya hawawezi kurudia kosa Hilo kamwe.
Vigezo gani Serbia anatakiwa awe navyo ili kujiunga mwana wa EU ? Na kama walimkatalia basi wasilalamike maamuzi anayofanya, kila nchi ina maamuzi huru so wasipangiane maana kakataliwa mwanachama kama unavyosema sio, so waache kulialia
 
Mfuatilie Victor Orban. Mwaka 2012 aliwapakia Waislam na Wahamiaji Weusi kutoka Afrika na Syria na Afghanistan na Kuwarudisha nchini Libya wakauzwe utumwani. Acha kabisa hiyo nchi,Kamwe kwa mwenendo wake haitakubaliwa kujiunga EU. Ni Kama Uturuki TU,Chini ya Erdogan,Uturuki isahau kuwa Mwanachama wa EU.
Kwani Uengereza si na yeye anawarejesha sasaivi Rwanda, au huwaga mnaona upande mmoja tu kama ile air defence ya Marekani
 
Serbia ni mojawapo ya nchi za Ulaya na ambayo ilifanya maombi ya kujiunga na Umoja wa Ulaya mwaka 2009. Majadiliano yake na EU kuhusu kukubaliwa uanachama yanaendelea na inategemewa kupewa uanachama huo mwaka 2025.

Pamoja na hayo yote, Serbia imeamua kupuuzia mbali vikwazo vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya (EU) dhidi ya Russia. Rais wa Serbia bwana Aleksandar Vucic kaitangazia dunia kuwa leo ameingia mkataba mnono mno wa gesi (extremely favourable natural gas deal) na rais Putin kupitia mazungumzo ya simu.

Rais huyo kaoneza kuwa anatarajia kusaini mkataba huo haraka iwezekanavyo, ndani ya siku za mwanzoni za mwezi June unaoanza keshokutwa wakati ambao waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov atafanya ziara nchini Serbia.
=====


View attachment 2243889
View attachment 2243886View attachment 2243887
Rais wa Serbia anaakili huwezi kuwa mfuata mkumbo tu,huku wananchi wako wanateseka,ni ujinga
 
Mfuatilie Victor Orban. Mwaka 2012 aliwapakia Waislam na Wahamiaji Weusi kutoka Afrika na Syria na Afghanistan na Kuwarudisha nchini Libya wakauzwe utumwani. Acha kabisa hiyo nchi,Kamwe kwa mwenendo wake haitakubaliwa kujiunga EU. Ni Kama Uturuki TU,Chini ya Erdogan,Uturuki isahau kuwa Mwanachama wa EU.
Mbona England saizi wanakusanya wakimbizi wote toka Africa na kuwapeleka Rwanda? Ni vilevile kwani unajua Rwanda wanaenda kufanywa nini?
 
Serbia na uongozi wao wa kidikteta hawawezi kamwe kukubaliwa kuwa wanachama wa EU hata wao wanalijua kabisa ndio maana wameona wasikose vyote(Uanachama wa EU na Gesi ya Urusi). Ni Mwaka wa 13 Sasa tangu nchi hiyo itume maombi LAKINI yalishakataliwa Mara 8. Waliambiwa mpaka watakapofikia vigezo vya Ulaya,lakini wameshindwa ndio maana wameamua Liwalo na Liwe. Hata Uturuki,Tangu mwaka 2001 wanalilia kujiunga EU lakini leo ni Mwaka wa 21 Sasa na hawajaambulia chochote.

Ulaya walijifunza makosa pale walipo ikubalia Hungary kujiunga EU,Yaani wanateseka balaa,make Hungary Demokrasia ambayo ndio kigezo kikuu Cha kujiunga EU imeporomoka sana hasa Chini ya Kiongozi wao VICTOR ORBAN.

Wakati Ujeruman na Italy zinapokea mamilioni ya wakimbizi kutoka Middle East na Afrika,Huyu jamaa wa Serbia alipinga vikali Sera ya kuwakaribisha Wahamiaji hasa Waislam na watu Weusi. Ulaya hawawezi kurudia kosa Hilo kamwe.
Mkuu ipi ni big deal kuwa EU au NATO? ,maana Turkey yupo NATO.
 
Serbia na uongozi wao wa kidikteta hawawezi kamwe kukubaliwa kuwa wanachama wa EU hata wao wanalijua kabisa ndio maana wameona wasikose vyote(Uanachama wa EU na Gesi ya Urusi). Ni Mwaka wa 13 Sasa tangu nchi hiyo itume maombi LAKINI yalishakataliwa Mara 8. Waliambiwa mpaka watakapofikia vigezo vya Ulaya,lakini wameshindwa ndio maana wameamua Liwalo na Liwe.
Acha uongo na porojo zako, kujiunga EU sio jambo la kuamuliwa haraka haraka kama kwenda 'Uthiru' hapo Kenya kununua 'sukuma wiki'...

Kujiunga na EU ni mchakato...na kuchukua miaka 10, 20 au zaidi ni jambo la kawaida.

Na sio kweli kuwa maombi ya Serbia yalishafanyiwa maamuzi (kukataliwa mara 8) kama unavyodai hapa. Zipo nchi nyingi tu zilizoomba kabla ya Serbia na bado michakato ya maombi yao inaendelea.

Hata Ukraine imeshaambiwa pia kuwa maombi yake yatachukua miongo kadhaa (zaidi ya miaka 20) mpaka kukubaliwa.
======
SmartSelect_20220530-203055_Chrome.jpg

SmartSelect_20220530-204200_Gallery.jpg

SmartSelect_20220530-203159_Chrome.jpg

SmartSelect_20220530-204353_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom