Sera za CHADEMA

Sera za CHADEMA

Shoo Gap

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
261
Reaction score
97
Ninaomba yeyote anayeweza kunipatia document inayoonyesha SERA ZA CHADEMA na strategies za kuzitekeleza. Nimejaribu kutafuta website yao naona haifunguki. Lakini ni vizuri kukafunguliwa mjadala wa kuona ni sera gani nzuri ya kuweza kuikomboa Tz. Chama gani kina sera nzuri za kupambana na Ufisadi, Umasikini, Ujinga, maradhi n.k. Watu wengi tumejikita kujadili watu na matukio, na tunaacha kujadili sera, viongozi wanaendeleza malumbano badala ya kuelezea sera zao na mbinu za kutekeleza sera hizo kuondokana na changamoto tulizo nazo(HASA ZA KIUCHUMI).
 
Inafanyiwa matengenezo, una wazo zuri tujadili sera za vyama, tumejikita wengi kujadili watu na kadi za vyama walizonazo!
 
Kuna thread nyingi zinazoelezea sera za chadema, na kuna hadi documents kibao. Tafuta thread za 2010 hapa hapa jamvini.
 
Back
Top Bottom