Sera ya Ushoga haitekelezeki Tanzania

Sera ya Ushoga haitekelezeki Tanzania

Una akili kubwa sana sana, yaani imevuka kiwango cha kawaida.
Hili suala kwanini limeshamiri sana kipindi hichi? huko nyuma tulikuwa tuna Sera za kusapoti haya mambo? Mbona tulikuwa hatushupaliwi? Chama kinachoongoza TZ ni kile kile.
 
Tulikuwa salama pamoja na kuwepo hizi sheria za kupinga ushoga na usagaji .
Hakukuwa na taharuki yeyote, na tumekuwa tukiishi hivyo.
Je ni nani alimtuma kuanza na kasi ya kutaja watu ndani vyombo vya habari na kuwatishia kuwakamata ?!. Kwa sababu baada tu ya tendo hilo tulishuhudia mawaziri wawili waandamizi wakimkana. Je hawa mawaziri wwanatumikia serikali ipi tofauti na Makonda ?! Je Makonda anajuwa athari za actions zake ?!.
Yaani Makonda ndo kawaambia kuwa hatusapoti ushoga? Walikuwa hawajui kuwa hatujawahi sapoti ushoga?
 
Mnakimbilia ushoga wakati hoja kuu ni uminyaji wa haki za binadamu na uhuru wa kufanya siasa na biashara. Ushog ni kakipengele kadgo ambako lumumba mnakimbillia uko.

Nimefrahishwa na Usa kwa mpango wao wa kutaka kuhakikisha uchaguz 2020 unakuwa wa uhuru na haki. Yan hapo ndipo magufuli anapigwa mapigo ya kila kiungo chake cha mwili. Mapemaaaa anarudi chato
 
Back
Top Bottom