Sera ya Ushoga haitekelezeki Tanzania

Sera ya Ushoga haitekelezeki Tanzania

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,321
Reaction score
13,763
Kimsingi mimi ni mmoja wa watu wanaounga mkono juhudi za Rais Magufuli,

Baada ya kusoma maazimio ya EU nimegundua kwamba 87% wameelezea sera za Ushoga ambazo kwa Rais imara kama Magufuli hawawezi Kumuendesha jinsi wanavyotaka wao nimeona Neno "We Instruct President" Rais hawezi ku entertain huu upuuzi acha akose fedha zao lakini hawawezi kukubali sera zao hasa sera kuu ya Kutetea ushoga.

Tanzania ni Nchi huru Rais Magufuli endelea kupiga gia achana na Mabwanyenye.
 
Enheeee aunt,hadith yako inatufundisha nini aunt!??
 
Hili suala kwanini limeshamiri sana kipindi hichi? huko nyuma tulikuwa tuna Sera za kusapoti haya mambo? Mbona tulikuwa hatushupaliwi? Chama kinachoongoza TZ ni kile kile.
 
Hili suala kwanini limeshamiri sana kipindi hichi? huko nyuma tulikuwa tuna Sera za kusapoti haya mambo? Mbona tulikuwa hatushupaliwi? Chama kinachoongoza TZ ni kile kile.
Kuna sehemu au maslahi yao yameguswa
 
Hili suala kwanini limeshamiri sana kipindi hichi? huko nyuma tulikuwa tuna Sera za kusapoti haya mambo? Mbona tulikuwa hatushupaliwi? Chama kinachoongoza TZ ni kile kile.
Yamekuwapo toka zamani sema technology imeyaweka wazi
 
Kuna sehemu au maslahi yao yameguswa
Waseme sasa' maana inajulikana hatujawahi kusapoti haya mambo na wamekuwa wakishirikiana na sisi sana tu na hatujabadili chama kwamba ni watu wengine wanatawala.
 
Waseme sasa' maana inajulikana hatujawahi kusapoti haya mambo na wamekuwa wakishirikiana na sisi sana tu na hatujabadili chama kwamba ni watu wengine wanatawala.
Wao ndio watakuwa wanajua.. lakini naamini hii siyo 7bu pekee hiki imekuwa kama kisingizio tu.. hawa jamaa ukishaziba mirija yao si watu wazuri kabisa watakutafutia vikwazo ili uwe kama Zimbabwe wakati wanafukuzwa kwenye mashamba ya wenyeji
 
Kimsingi mimi ni mmoja wa watu wanaounga mkono juhudi za Rais Magufuli,

Baada ya kusoma maazimio ya EU nimegundua kwamba 87% wameelezea sera za Usenge ambazo kwa Rais imara kama Magufuli hawawezi Kumuendesha jinsi wanavyotaka wao nimeona Neno "We Instruct President" baada ya "We advice" Jiwe kama mnavyomuita BAVICHA hawezi ku entertain huu upuuzi acha akose fedha zao lakini hawawezi kukubali sera zao hasa sera kuu ya Kutetea wasenge.

Tanzania ni Nchi huru Rais Magufuli endelea kupiga gia achana na Mabwanyenye.
Tatizo akinyimwa haumii yeye mtaumia nyie huku chini
 
Stigglers inawaumiza kichwa. IPTL ilikuwa inachuma mpunga mrefu Sana
Hata kuiba maliasili zetu kama madini, miti na mengine kibao, sahizi mirija yote ya kuiba imezibwa wanaona mbaya wao ni uyu
 
kwani serikali ya ccm ilishajaribu kuitekeleza sera ya ushoga? Maajabu haya
 
Ukweli ni kwamba ushoga upo Tanzania na unafanyika hadharani, hata wanawake wanaotoa nyuma wapo wengi tu, sasa mkubali msikubali bado ukweli utabaki kuwa ukweli
 
Tuna fukwe na visiwa havikaliwi na watu situwapeleke huko wakafiran e, shida iko wapi,
 
Jifunze kutofautisha kati ya sera ya ushoga na uwepo wa ushoga. USHOGA unaweza kuwepo bila sera au kukiwa na sera.
 
Kimsingi mimi ni mmoja wa watu wanaounga mkono juhudi za Rais Magufuli,

Baada ya kusoma maazimio ya EU nimegundua kwamba 87% wameelezea sera za Ushoga ambazo kwa Rais imara kama Magufuli hawawezi Kumuendesha jinsi wanavyotaka wao nimeona Neno "We Instruct President" Rais hawezi ku entertain huu upuuzi acha akose fedha zao lakini hawawezi kukubali sera zao hasa sera kuu ya Kutetea ushoga.

Tanzania ni Nchi huru Rais Magufuli endelea kupiga gia achana na Mabwanyenye.

Hivi kwenye ile document Jiwe kaambiwa afanyie nini mashoga?

Naomba walao jambo moja jiwe kalazimishwa awafanyie!

Mnafeli mchana kweupe kabisa au ni mmeamua kuvua uelewa wenu makusudi tu!

Know this:

-Jiwe hana mamlaka ya kubadili sheria za nchi,ni kazi ya bunge!..Jiwe hajaelekezwa lolote kuhusu hili!

Law of the land hazikubali vitendo vya ushoga na adhabu ipo wazi..EU hawana tatizo na hilo!

EU wanataka haki sawa before the law kwa hawa watu!

Hii kushika mtu mtaani unamtuhumu,unamhukumu na kumuadhibu wewe even hata hujampeleka mahakamani kua tried ndio kinaitwa persecution!

Alichokua anafanya Makonda ni pure persecution!Sio utu!

Halafu uelewe kuna dhana mbili hapa "Shoga" na "Vitendo Vya Ushoga",sheria inatambua "Vitendo Vya Ushoga" ambavyo ni mapenzi kinyume na maumbile ambapo yeyote anaweza kufanya.

Yeyote akishikwa na ikadhibitika kafanya mapenzi kinyume cha maumbile ni jinai na ataadhibitiwa...Understand this,sheria inasema "yeyote"!

"Shoga" ni label anayopewa mwanadamu na jamii wakati mwingine bila evidence yeyote,huenda hata hajawahi kushiriki mapenzi kinyume na maumbile,sheria ita-deal nae iwapo siku atashiriki na kudhibitika!

Tatizo hapa,nadhani kuanzia wakuu tuliowapa madaraka,wataalamu,wasomi,etc wanashindwa kwakweli kutuelimisha sisi wananchi tukaelewa which is which!
 
Tunaweza kupinga uhuru wetu kuingiliwa kama tukiwa na umoja wa kitaifa.

Kwa sasa umoja huu unakosekana kutokana na matamko na matendo mbalimbali yanayofanywa na watawala. Kwa mfano;

1. Vyama vya upinzani kunyimwa uhuru wa kufanya mikutano na kuendesha shughuli zake kwa uhuru bila kuvunja sheria za nchi. Tukumbuke hivi vyama vina wafuasi ukizingatia uchaguzi mkuu wa 2015. Kitendo cha kuwanyima uhuru kinazorotesha umoja huu.

2. Kukamatwa na kufungwa ovyo kwa viongozi wa kisiasa na wabunge bila sababu za msingi.

3. Matendo ya kuuawa ovyo watu na kupotea kwa wanasiasa na wanaharakati vinavyofanyika nchini.

4. Vitendo vinavyoonyesha ubaguzi kwa baadhi ya wafanyabiashara wakubwa.

5. Matamko na vitendo vinavyovunja haki za binadamu na mengine mengi.

6. Utunzi wa sheria kandamizi.

n.k.

Kama haya yakipatiwa ufumbuzi sahihi katika hili la ushoga na kuingiliwa kwa uhuru wetu kama taifa tungelipinga kwa nguvu zote. Lakini kwa sasa ni ngumu japo baadhi ya mambo kama ya ushoga yanatuumiza
 
Kwa hiyo unsshauli tusiukemeee
Ukweli ni kwamba ushoga upo Tanzania na unafanyika hadharani, hata wanawake wanaotoa nyuma wapo wengi tu, sasa mkubali msikubali bado ukweli utabaki kuwa ukweli
 
Kwenye maelezo yao kuna sehemu wanalalamikia kitendo cha serikali kuwakamata mashoga kule Zanzibar,hapa unaona hawa watu hawana nia njema na sisi.
 
Back
Top Bottom