Nimefarijika sana jana pale nilipomsikia Edward Lowassa akisemea yale ambayo wengine wengi wakishindwa kusema isipokuwa Dr Slaa,
Sera ya makazi bora mwaka 2010 Kikwete na Lipumba walisema haitekelezeki, Lowassa naona kaibeba.... Nimefarijika.
Watu hawauoni mfumko wa bei unaozidi kumkandamiza mtu wa chini... Dr Slaa amekuwa akisemea peke yake, Lowassa jana kaliona na kusemea hilo.
Dr Slaa mawazo yako yanaishi.
Sera ya makazi bora mwaka 2010 Kikwete na Lipumba walisema haitekelezeki, Lowassa naona kaibeba.... Nimefarijika.
Watu hawauoni mfumko wa bei unaozidi kumkandamiza mtu wa chini... Dr Slaa amekuwa akisemea peke yake, Lowassa jana kaliona na kusemea hilo.
Dr Slaa mawazo yako yanaishi.