Rweye,
Umezungumza maneno magumu kidogo kwa sababu hoja yako ya pili kwangu mimi naona sijaielewa. Ningeomba, kwa faida yangu, pengine na wanajamii, ututajie ni maeneo gani ambayo wawekezaji walinyang'anywa na wakapewa wananchi. kwa sababu kelele za wananchi kuporwa ardhi zinaendelea hadi sasa. ni wapi please, japo kwa mfano kdogo tu.