September 11 remembered in NY City



Baada ya dege la kwanza kuzama ndani ya tower ya kwanza dege la pili hilo ninaingia kwenye tower ya pili kumaliza kazi, ilikuwa ni kitisho na kihoro cha hali yajuu na kuikua kama dunia ndogo
 
Sio mujahidina wewe, ni freemasonry hao wakitaka kutengeneza siku yao ya kuadhimisha dunia nzima tarehe 11/9
 
nasikia kwamba ndugu zetu waarabu wanasingiziwa tu ktk hii ki2 wanajamvi.................bado kuna wingu ktk hili
 
kuna watu wanakumbuka sept. 11 lakini hawakumbuki mabomu ya mbagala & gongo la mboto yalikuwa lini...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…